Chibu diii Chibu deee alikopi biti ya Baba lao ila aliruhusiwa na mwenye biti hiyo ila watu walivyokuja kuusikiliza wimbo wakaona jinsi chibu alivyokopi biti wakamlalamikia kuusiana na kuiba biti
bila kujua hio biti aliipateje hivyo basi chibu maranyingi hua analalamikiwa na mashabiki nasio wamiliki
Tukija kwenye suala la Jeeshi harmonize yeye amelalamikiwa na mwenye aidia na sio mashabiki sijui utakua umenisoma kamanda