Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Licha ya mara nyingi sana Bwana Chibu amekua akishutumiwa kuiba ama kukopi nyimbo za wasanii wengine kitu ambacho ni kosa la haki miliki, je kwanini haijawahi tokea waibiwaji wakalalamika au YouTube kumpiga ban?