Kwanini dhambi hizi zimepewa majina mazuri?

Kwanini dhambi hizi zimepewa majina mazuri?

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
5,527
Reaction score
7,121
Siku hizi kuna dhambi nyingi zilizopachikwa majina mazuri au ya kisasa. Kwanini? Hii ni hila ya shetani ya kuzipunguzia uzito au kuzipa uhalali katika jamii. Kwa njia hiyo shetani anawafanya watu waone kuwa dhambi ni kitu cha kawaida, cha kuvutia, au cha kupendeza na hivyo wanavutwa kutenda dhambi bila kuona haja ya kutubu. Hatimaye waangamie milele bila kujua.

Hizi hapa ni baadhi ya dhambi zilizopewa majina mazuri ya "kistaarabu" au "ya kisasa" kiasi kwamba wanaozifanya badala ya kujuta wanazifurahia:

1. Uzinzi/Zinaa → “Mapenzi/Mahusiano"
Uzinzi umepachikwa jina jipya kuwa ni mahusiano ya kimapenzi. Hata hivyo majina hayo mapya hayaufanyi uzinzi kuwa halali. Amri ya Mungu iko palepale: usizini(Kutoka 20:14) na wazinzi hawataurithi ufalme wa Mungu.

2. Kutoa mimba(kuua) → “Afya ya uzazi”
Kutoa mimba hujulikana kama afya ya uzazi au uhuru wa mwanamke, lakini ni kuua uhai usio na hatia. Amri ya Mungu ya usiue (Kutoka 20:13) haiwezi kubadilishwa na jina hilo jipya.

3. Ushoga na usagaji → “Mapenzi ya jinsia moja”/“Orientation”
Uovu huu unaofanywa kinyume na maumbile unajulikana sana kama love is love. Mashoga Mungu anawaona. Tubuni uovu wenu (Warumi 1:26–27)

4. Ulevi → “Kunywa kilauri”/“Kupiga Tungi"/"Ku-chill”
Ulevi umepewa majina yanayokifanya kilevi kionekane kuwa ni burudani, kumbe ni dhambi itakayowapeleka watu wengi jehanam (1 Wakorintho 6:9–10)

5. Uongo → “Chai"/"Kupiga Kiswahili”
Uongo huonekana kama maneno ya hekima ya kujiokoa katika hatari, lakini ni mtego unaowanasa watu dhambini.(Ufunuo 21:8)

6. Wizi → “Kupiga dili”/“Kusogeza”
Mtu anajua kuiba ni dhambi lakini anasema anachukua chake mapema (Kutoka 20:15)

7. Uchawi → “Nguvu za asili”
Mtu anamloga mwenzake lakini anasema amempiga matukio! (Kumbukumbu 18:10–12)

8. Kiburi → “Kuji-brand”/“Self-confidence”
Kiburi hufichwa katika jina la kujiamini, lakini ni chanzo cha anguko (Luka 14:11)

9. Usengenyaji na fitina → “Udaku”/“Kupiga mdomo”
Kumchafua mtu kwa ulimi, kumebatizwa kuwa ni kupiga story (Wagalatia 5:19–21)

“Ole wao wausemao uovu kuwa mema...” (Isaya 5:20)

Shetani ana hila nyingi. Anawashawishi watu wazivalishe dhambi suti, ili waendelee kuzivaa na kujiona kuwa wako safi kumbe dhambi hizo zinawapeleka upotevuni.

Dhambi ni dhambi. Let us call a spade a spade. Ukiita pombe "kinywaji" bado ni sumu tu, itakuua. Ukiuita uzinzi “mapenzi,” bado tu unavunja amri ya Mungu.

Tushtuke kiroho. Tusikubali dhamiri zetu zipumbazwe na majina mapya ya dhambi. Tuitaje dhambi kwa jina lake halisi, ili tuikimbie na kutubu, tusamehewe.
 
10. Kujichua (punyeto) → “Self-love”/“kujielewa kimwili”
Wanaopiga punyeto hujitetea kwamba wanafanya self love, lakini kujichua ni uchafu wa kimwili na kiroho. Huku ni kujinajisi, siyo kujipenda.(1 Wakorintho 6:18–20). Angalia jinsi mtu huyu alivyopata kipigo kwa sababu ya kupiga punyeto
 
Ni dhambi gani nyingine unazozifahamu zilizopewa majina mazuri kiasi kwamba zinaonekana sio dhambi katika jamii? Karibu utujuze.
 
Kuna kupiga nyeto, kubanjua, kuchakata, kupiga shoo, vipi hapo mjuba unasemaje?
 
Je, unaweza kuthibitisha uwepo wa huyo shetani unayemsema?

Hayo uliyo orodhesha ni opinions na mitazamo ya binadamu jinsi alivyomezeshwa na kuaminishwa. Unaweza kuthibitisha uwepo wa dhambi?
 
Kuna kupiga nyeto, kubanjua, kuchakata, kupiga shoo, vipi hapo mjuba unasemaje?
Eti kuchakata, kupiga shoo... shetani ni mbaya sana, ndio sababu ninapoandika jina lake naanza kwa herufi ndogo maana hastahili kabisa kupewa heshima. Anawapotosha mamilioni ya watu duniani
 
Siku hizi kuna dhambi nyingi zilizopachikwa majina mazuri au ya kisasa. Kwanini? Hii ni hila ya shetani ya kuzipunguzia uzito au kuzipa uhalali katika jamii. Kwa njia hiyo shetani anawafanya watu waone kuwa dhambi ni kitu cha kawaida, cha kuvutia, au cha kupendeza na hivyo wanavutwa kutenda dhambi bila kuona haja ya kutubu. Hatimaye waangamie milele bila kujua.

Hizi hapa ni baadhi ya dhambi zilizopewa majina mazuri ya "kistaarabu" au "ya kisasa" kiasi kwamba wanaozifanya badala ya kujuta wanazifurahia:

1. Uzinzi/Zinaa → “Mapenzi/Mahusiano"
Uzinzi umepachikwa jina jipya kuwa ni mahusiano ya kimapenzi. Hata hivyo majina hayo mapya hayaufanyi uzinzi kuwa halali. Amri ya Mungu iko palepale: usizini(Kutoka 20:14) na wazinzi hawataurithi ufalme wa Mungu.

2. Kutoa mimba(kuua) → “Afya ya uzazi”
Kutoa mimba hujulikana kama afya ya uzazi au uhuru wa mwanamke, lakini ni kuua uhai usio na hatia. Amri ya Mungu ya usiue (Kutoka 20:13) haiwezi kubadilishwa na jina hilo jipya.

3. Ushoga na usagaji → “Mapenzi ya jinsia moja”/“Orientation”
Uovu huu unaofanywa kinyume na maumbile unajulikana sana kama love is love. Mashoga Mungu anawaona. Tubuni uovu wenu (Warumi 1:26–27)

4. Ulevi → “Kunywa kilauri”/“Kupiga Tungi"/"Ku-chill”
Ulevi umepewa majina yanayokifanya kilevi kionekane kuwa ni burudani, kumbe ni dhambi itakayowapeleka watu wengi jehanam (1 Wakorintho 6:9–10)

5. Uongo → “Chai"/"Kupiga Kiswahili”
Uongo huonekana kama maneno ya hekima ya kujiokoa katika hatari, lakini ni mtego unaowanasa watu dhambini.(Ufunuo 21:8)

6. Wizi → “Kupiga dili”/“Kusogeza”
Mtu anajua kuiba ni dhambi lakini anasema anachukua chake mapema (Kutoka 20:15)

7. Uchawi → “Nguvu za asili”
Mtu anamloga mwenzake lakini anasema amempiga matukio! (Kumbukumbu 18:10–12)

8. Kiburi → “Kuji-brand”/“Self-confidence”
Kiburi hufichwa katika jina la kujiamini, lakini ni chanzo cha anguko (Luka 14:11)

9. Usengenyaji na fitina → “Udaku”/“Kupiga mdomo”
Kumchafua mtu kwa ulimi, kumebatizwa kuwa ni kupiga story (Wagalatia 5:19–21)

“Ole wao wausemao uovu kuwa mema...” (Isaya 5:20)

Shetani ana hila nyingi. Anawashawishi watu wazivalishe dhambi suti, ili waendelee kuzivaa na kujiona kuwa wako safi kumbe dhambi hizo zinawapeleka upotevuni.

Dhambi ni dhambi. Let us call a spade a spade. Ukiita pombe "kinywaji" bado ni sumu tu, itakuua. Ukiuita uzinzi “mapenzi,” bado tu unavunja amri ya Mungu.

Tushtuke kiroho. Tusikubali dhamiri zetu zipumbazwe na majina mapya ya dhambi. Tuitaje dhambi kwa jina lake halisi, ili tuikimbie na kutubu, tusamehewe.
Kuiba kura je?
 
Je, unaweza kuthibitisha uwepo wa huyo shetani unayemsema?
Labda ukisoma uzi huu itakusaidia kujua kuwa shetani na mapepo yake na wasaidizi wake(wachawi) wapo
Hayo uliyo orodhesha ni opinions na mitazamo ya binadamu jinsi alivyomezeshwa na kuaminishwa. Unaweza kuthibitisha uwepo wa dhambi?
“Dhambi” ni neno la kiroho, lakini hata katika maadili ya kawaida, kuna kitu kinaitwa “kosa” au wrongdoing:

Kwa mfano, mtu akiua bila sababu, ni kosa. Mtu akiiba mali ya mtu ni uovu. Mtu akimlawiti mtoto, ni mmomonyoko wa maadili.

Hayo yote, yanayoonekana makosa katika jamii, kwa lugha ya kiroho, ndiyo dhambi. Biblia inaeleza dhambi ni "kuasi mapenzi ya Mungu" (1 Yohana 3:4).

Hata Atheists wasioamini kwamba Mungu yupo bado na wao wanatambua kuwa kuna jambo jema na baya, na hiyo ni dalili kuwa dhambi ipo, hata kama hawaiiti kwa jina hilo. Umenipata Adverse Effect ?
 
Majina ni kupunguza ukali wa maneno siyo kupoza hicho unachokiita dhambi.

Badala ya kumwambia mwanamke twende nikut..be, unaweza kusema twende nikubanjue/kudinye vyovyote ili ujumbe ufike tu.

Unaona hapo unapunguza ukali wa maneno siyo tendo.
 
Majina ni kupunguza ukali wa maneno siyo kupoza hicho unachokiita dhambi.

Badala ya kumwambia mwanamke twende nikut..be, unaweza kusema twende nikubanjue/kudinye vyovyote ili ujumbe ufike tu.

Unaona hapo unapunguza ukali wa maneno siyo tendo.
Kwanini upunguze ukali wa maneno? Hiyo ni dalili ya wazi kwamba dhamiri yako inakushtaki, kwamba unachoenda kufanya ni dhambi.
 
Kwanini upunguze ukali wa maneno? Hiyo ni dalili ya wazi kwamba dhamiri yako inakushtaki, kwamba unachoenda kufanya ni dhambi.
Hapana kupunguza ukali wa maneno au kuyabadirisha siyo kiashiria kwamba unachoenda kufanya ni dhambi.

Kwani wanandoa huwa mnaombanaje mechi?

Nikimaanisha nyie hamtendi dhambi mnaambizana kwamba "Setfree twende tukato...ne?" Au nanyi mna code zenu mnapotaka kwenda kuumba?

Kupunguza ukali wa maneno wengi wanasema ndio ustaarabu ingawa sielewi hayo makubaliano yalifikiwa lini.

Any way huo ni mtizamo tu, ngoja na wengine watuambie wao wanafikiri nini juu ya hili?
 
Siku hizi kuna dhambi nyingi zilizopachikwa majina mazuri au ya kisasa. Kwanini? Hii ni hila ya shetani ya kuzipunguzia uzito au kuzipa uhalali katika jamii. Kwa njia hiyo shetani anawafanya watu waone kuwa dhambi ni kitu cha kawaida, cha kuvutia, au cha kupendeza na hivyo wanavutwa kutenda dhambi bila kuona haja ya kutubu. Hatimaye waangamie milele bila kujua.

Hizi hapa ni baadhi ya dhambi zilizopewa majina mazuri ya "kistaarabu" au "ya kisasa" kiasi kwamba wanaozifanya badala ya kujuta wanazifurahia:

1. Uzinzi/Zinaa → “Mapenzi/Mahusiano"
Uzinzi umepachikwa jina jipya kuwa ni mahusiano ya kimapenzi. Hata hivyo majina hayo mapya hayaufanyi uzinzi kuwa halali. Amri ya Mungu iko palepale: usizini(Kutoka 20:14) na wazinzi hawataurithi ufalme wa Mungu.

2. Kutoa mimba(kuua) → “Afya ya uzazi”
Kutoa mimba hujulikana kama afya ya uzazi au uhuru wa mwanamke, lakini ni kuua uhai usio na hatia. Amri ya Mungu ya usiue (Kutoka 20:13) haiwezi kubadilishwa na jina hilo jipya.

3. Ushoga na usagaji → “Mapenzi ya jinsia moja”/“Orientation”
Uovu huu unaofanywa kinyume na maumbile unajulikana sana kama love is love. Mashoga Mungu anawaona. Tubuni uovu wenu (Warumi 1:26–27)

4. Ulevi → “Kunywa kilauri”/“Kupiga Tungi"/"Ku-chill”
Ulevi umepewa majina yanayokifanya kilevi kionekane kuwa ni burudani, kumbe ni dhambi itakayowapeleka watu wengi jehanam (1 Wakorintho 6:9–10)

5. Uongo → “Chai"/"Kupiga Kiswahili”
Uongo huonekana kama maneno ya hekima ya kujiokoa katika hatari, lakini ni mtego unaowanasa watu dhambini.(Ufunuo 21:8)

6. Wizi → “Kupiga dili”/“Kusogeza”
Mtu anajua kuiba ni dhambi lakini anasema anachukua chake mapema (Kutoka 20:15)

7. Uchawi → “Nguvu za asili”
Mtu anamloga mwenzake lakini anasema amempiga matukio! (Kumbukumbu 18:10–12)

8. Kiburi → “Kuji-brand”/“Self-confidence”
Kiburi hufichwa katika jina la kujiamini, lakini ni chanzo cha anguko (Luka 14:11)

9. Usengenyaji na fitina → “Udaku”/“Kupiga mdomo”
Kumchafua mtu kwa ulimi, kumebatizwa kuwa ni kupiga story (Wagalatia 5:19–21)

“Ole wao wausemao uovu kuwa mema...” (Isaya 5:20)

Shetani ana hila nyingi. Anawashawishi watu wazivalishe dhambi suti, ili waendelee kuzivaa na kujiona kuwa wako safi kumbe dhambi hizo zinawapeleka upotevuni.

Dhambi ni dhambi. Let us call a spade a spade. Ukiita pombe "kinywaji" bado ni sumu tu, itakuua. Ukiuita uzinzi “mapenzi,” bado tu unavunja amri ya Mungu.

Tushtuke kiroho. Tusikubali dhamiri zetu zipumbazwe na majina mapya ya dhambi. Tuitaje dhambi kwa jina lake halisi, ili tuikimbie na kutubu, tusamehewe.
There is NO MAN Dead or Alive that has not fall short from the Glory of God. For All have sinned. The only perfect being to step on earth IS and Was Our Lord and Saviour Jesus Christ. Unapologetically! This world has so many truths and narratives but there can only be 1 Truth!
 
There is NO MAN Dead or Alive that has not fall short from the Glory of God. For All have sinned. The only perfect being to step on earth IS and Was Our Lord and Saviour Jesus Christ. Unapologetically! This world has so many truths and narratives but there can only be 1 Truth!

Yes, all have sinned, but God calls us to holiness

  • Romans 3:23 says all have sinned, but the story doesn’t end there. God does not want us to stay in sin. Through Christ, we are given the Holy Spirit who enables us to live a righteous life.
  • Saying “the only perfect being to step on earth IS and Was Our Lord and Savior Jesus Chris” can become an excuse to continue sinning, but Scripture commands us, “Be holy, for I am holy” (1 Peter 1:16).
 

Yes, all have sinned, but God calls us to holiness

  • Romans 3:23 says all have sinned, but the story doesn’t end there. God does not want us to stay in sin. Through Christ, we are given the Holy Spirit who enables us to live a righteous life.
  • Saying “the only perfect being to step on earth IS and Was Our Lord and Savior Jesus Chris” can become an excuse to continue sinning, but Scripture commands us, “Be holy, for I am holy” (1 Peter 1:16).
You relax on a bus, not knowing the driver. You relax on a plane, not knowing the pilot. Why not relax in life knowing God is in control. Whyyyy??
 
10. Kujichua (punyeto) → “Self-love”/“kujielewa kimwili”
Wanaopiga punyeto hujitetea kwamba wanafanya self love, lakini kujichua ni uchafu wa kimwili na kiroho. Huku ni kujinajisi, siyo kujipenda.(1 Wakorintho 6:18–20). Angalia jinsi mtu huyu alivyopata kipigo kwa sababu ya kupiga punyeto
Kutoa mimba ....Afya ya uzazi, ya wapi hii?!
 
Jina zuri maana yake nini? Lugha ngumu sana hizi...
 
You relax on a bus, not knowing the driver. You relax on a plane, not knowing the pilot. Why not relax in life knowing God is in control. Whyyyy??
I know God is in control, like a pilot or driver. But that doesn’t give us an excuse to be careless with our lives. Trusting Him means walking in obedience, striving for holiness, and not using His grace as a license to sin. God’s plan works best through a life lived righteously
 
Back
Top Bottom