Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Hizi ni aina ya sms nazoipata nyingi sana kutoka kwa watu tofauti tofauti wakiuliza kwanini siongelei mambo ya siasa ya sasa ya nchini yafuatayo ndo majibu yangu
๐๐๐๐๐๐
Fahamu kwamba katika point ya historia ya dunia Tanzania itakuwa super-power sio milele hapana kwa miaka kadhaa miaka 300 au 400 ni lini sijui inaweza ikawa 2100, 2200, au hata 2500
Mimi kazi yangu ni kuweka huo msingi na kuiandaa nchi ya Tanzania kuwa superpower lazima itakuja kuwa super power hilo nakuhakikishia unasema inawezekanaje Mambo mengi leo tunayoyafanya mengi yalipiganiwa au yaliwekewa msingi miaka mingi iliyopita
Mambo yote niliyokuwa nikiongelea kama
Kupitia tu hayo mambo manne kila mda naumiza kichwa ili baadhi yatimie na mengine watafanya vizazi vijavyo na kuweka msingi wa vizazi vijavyo wakija wakute tayari kuna benchmark na wawe na uthubutu wa kufikiria tofauti na sasa sababu mtanzania na mwafrika hajapewa uthubutu
Mtoto atakayezaliwa mwaka 2025, 2050, 2100, 2200, au 2800 atakuta tayari kuna msingi tayari,
MAJIBU YANGU JUU YA HALI YA SIASA NCHINI
Haya mambo yanayofanyika kwa sahivi kwa asilimia kubwa ni uthibitisho tunawatu ambao wanajipigania wao na familia zao, na hichi wanachofanya ni mbio za sakafuni
๐๐๐๐๐๐๐
Hilo hapo juu ndo jibu langu ambalo ni fupi sana
Kwa hiyo kwa pamoja tufocus na Big picture sababu ndo mambo ya msingi kwa sababu kinachokuja mbeleni ni kikubwa na kinahitaji maandalizi
MIMI DENNIS ROBERT SHUGHURU URITHI NTAKAO WAACHIA WATANZANIA NA DUNIA NZIMA NI IDEAS, HYPOTHESIS NA MERHODS NA FAHAMU URITHI WA KWELI NI IDEAS AMBAZO HAZIISHI KAMA ILIVYO FEDHA NA WATAZITUMIA KUTENGENEZEA UTAJIRI
SISI WAAFRIKA TUNACHANGAMOTO KUBWA YA KUTOWAACHIA WATOTO WETU IDEA WAZUNGU KWENYE HILI WANAJITAHIDI SANA NDO WANAKUWA DOMINANT SABABU URITHI WALIOACHIWA NI IDEA
www.jamiiforums.com
๐๐๐๐๐๐
Fahamu kwamba katika point ya historia ya dunia Tanzania itakuwa super-power sio milele hapana kwa miaka kadhaa miaka 300 au 400 ni lini sijui inaweza ikawa 2100, 2200, au hata 2500
Mimi kazi yangu ni kuweka huo msingi na kuiandaa nchi ya Tanzania kuwa superpower lazima itakuja kuwa super power hilo nakuhakikishia unasema inawezekanaje Mambo mengi leo tunayoyafanya mengi yalipiganiwa au yaliwekewa msingi miaka mingi iliyopita
Mambo yote niliyokuwa nikiongelea kama
- Tanzania kuwa industrial super power kupitia viwanda vya awali (smelter & refining)
- Mambo ya space- Tanzania itakuja kuwa dominant kweny space exploration na colonisation
- Tanzania itakua dominant kwenye eneo zima la pharmaceutical na life science
- Mambo ya uchumi
Kupitia tu hayo mambo manne kila mda naumiza kichwa ili baadhi yatimie na mengine watafanya vizazi vijavyo na kuweka msingi wa vizazi vijavyo wakija wakute tayari kuna benchmark na wawe na uthubutu wa kufikiria tofauti na sasa sababu mtanzania na mwafrika hajapewa uthubutu
Mtoto atakayezaliwa mwaka 2025, 2050, 2100, 2200, au 2800 atakuta tayari kuna msingi tayari,
MAJIBU YANGU JUU YA HALI YA SIASA NCHINI
Haya mambo yanayofanyika kwa sahivi kwa asilimia kubwa ni uthibitisho tunawatu ambao wanajipigania wao na familia zao, na hichi wanachofanya ni mbio za sakafuni
๐๐๐๐๐๐๐
Hilo hapo juu ndo jibu langu ambalo ni fupi sana
Kwa hiyo kwa pamoja tufocus na Big picture sababu ndo mambo ya msingi kwa sababu kinachokuja mbeleni ni kikubwa na kinahitaji maandalizi
MIMI DENNIS ROBERT SHUGHURU URITHI NTAKAO WAACHIA WATANZANIA NA DUNIA NZIMA NI IDEAS, HYPOTHESIS NA MERHODS NA FAHAMU URITHI WA KWELI NI IDEAS AMBAZO HAZIISHI KAMA ILIVYO FEDHA NA WATAZITUMIA KUTENGENEZEA UTAJIRI
SISI WAAFRIKA TUNACHANGAMOTO KUBWA YA KUTOWAACHIA WATOTO WETU IDEA WAZUNGU KWENYE HILI WANAJITAHIDI SANA NDO WANAKUWA DOMINANT SABABU URITHI WALIOACHIWA NI IDEA
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way ๐๐๐๐๐๐๐๐ Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...