Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Wazungu walitegemea sub sahara watu wengi sana watakufa.
Lakini cha ajabu corona haijafurukuta kabisa sub sahara.. North africa na south africa imepiga sawasawa. Lakini africa ya weusi haija pata kibali kabisa.
Je sababu ni nini
1. Aina ya maisha tunayo ishi
2. Vyakula tunavyo kula
3. Kuto kuwepo kwa wazee na wenye matatizo ya magonjwa yasiyo ambukiza.
4. Uchawi
5. Maombi
6. Hakuna data kamili
Lakini cha ajabu corona haijafurukuta kabisa sub sahara.. North africa na south africa imepiga sawasawa. Lakini africa ya weusi haija pata kibali kabisa.
Je sababu ni nini
1. Aina ya maisha tunayo ishi
2. Vyakula tunavyo kula
3. Kuto kuwepo kwa wazee na wenye matatizo ya magonjwa yasiyo ambukiza.
4. Uchawi
5. Maombi
6. Hakuna data kamili