Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Inakuwaje wanawavuka woote kuanzia Mkuu wa Polisi (Wilaya, Mkoa, Taifa) , Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri na kumlaumu Raisi wa nchi?
Chadema hata akishikwa na Trafiki na kupigwa faini, anamlaumu Raisi wa nchi!
Mbona Mbowe halaumiwi kwa matendo ya Wafanyakazi wake akinaTundu Lisu, Lema, Sugu &Co.? , ...
Chadema hata akishikwa na Trafiki na kupigwa faini, anamlaumu Raisi wa nchi!
Mbona Mbowe halaumiwi kwa matendo ya Wafanyakazi wake akinaTundu Lisu, Lema, Sugu &Co.? , ...