Wewe kweli domokaya ni pumba.., Chadema hakiwezi kumogopa huyo mwizi kama CCM inavyomgwaya na kumnyenyekea (muulize Nape atakwambia).
CHADEMA ndio waliomwanika Lowasa in his true colours (refer to the list od shame), na inavyoonyesha hata wewe utakuwa either unalamba makoko au unajipendekeza kwa Freddy
Your words are full of bull waste.