Kwanini CHADEMA inamuogopa Lowassa?

Kwanini CHADEMA inamuogopa Lowassa?

domokaya

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2010
Posts
3,588
Reaction score
1,758
Washabiki na wanachama wengi wa CHADEMA hupata homa endapo watasikia Lowasa atashiriki kikamilifu katika ushindani wa kisiasa dhidi yao akiisimamia CCM. Hofu na homa hii ya CHADEMA dhidi ya Lowasa ya nini na inatoka wapi?
 
Wapi Lowassa aliposhiriki kikamilifu akiisimamia ccm dhidi ya cdm na cdm wakamuogopa Lowassa?me najua mfano mmoja tu Lowassa aliisimamia c.c.m dhidi ya cdm,napo ni Arusha mjini,aibu aliyoipata yeye na chama chake na mtu wake wanaijua wenyewe!toa mifano hai minne tu kusupport kauli yako,otherwise utakua empty brain,domokaya mropokaji bila kufikiri!
 
nani anamuogopa mwivii tu yule! halafu hii promo inakusadia nini? e.l ni mchafu totally. hasafishiki hata kwa stillwire yule
 
Sio kama wanamuopa Lowassa, ndani ya Chadema kwenyewe kuna mapandikizi wa Lowassa.
 
Wapi Lowassa aliposhiriki kikamilifu akiisimamia ccm dhidi ya cdm na cdm wakamuogopa Lowassa?me najua mfano mmoja tu Lowassa aliisimamia c.c.m dhidi ya cdm,napo ni Arusha mjini,aibu aliyoipata yeye na chama chake na mtu wake wanaijua wenyewe!toa mifano hai minne tu kusupport kauli yako,otherwise utakua empty brain,domokaya mropokaji bila kufikiri![/QUOTE
mbona pale arusha mjini alimpachika mbina dk na balozi b ****ni lakini hawakufua dafu,sasa unafikiri arumeru atafua dafu? ata kama SIOI anam***a bintie,
 
washabiki na wanachama wengi wa chadema hupata homa endapo watasikia lowasa atashiriki kikamilifu katika ushindani wa kisiasa dhidi yao akiisimamia ccm. Hofu na homa hii ya chadema dhidi ya lowasa ya nini na inatoka wapi?

kwa sababu ni kinara wa uf**adi.
 
ccm ndio wanahangaika naye. hadi kumkalia kikao ikulu lakini wanachemsha.!
 
Wote mtaji wao ni KANISA! Wanaogopa kugawa kura!
 
CDM haiogopi m2, sema watu mnakuja humu na mawazo ya kichumba ambayo mmeyazoea fcbk.
 
Washabiki na wanachama wengi wa CHADEMA hupata homa endapo watasikia Lowasa atashiriki kikamilifu katika ushindani wa kisiasa dhidi yao akiisimamia CCM. Hofu na homa hii ya CHADEMA dhidi ya Lowasa ya nini na inatoka wapi?

Je wewe fisadi humwogopi? BASI HUNA UZALENDO KWA NCHI YAKO NA NI SAWA NA HAYAWANI ACHEZAYE NGOMA ASIYE IJUA.POLE
 
Sio kama wanamuopa Lowassa, ndani ya Chadema kwenyewe kuna mapandikizi wa Lowassa.

Hisia za kufikirika hizo!Lowassa hawezi kua hata na punje ya pandikizi ndani ya Cdm,watu wa c.c.m ndio anawasumbua mpaka mara uchaguzi arumeru urudiwe,mara tunavua gamba,mara tubadili katiba,mara rais mzee hatakiwi,mara vile,propaganda nyiiingi,mtu mmoja tu amenunua na kukirubuni 3/4 ya wanachama!yaani mtu mmoja kashika akili wote!sidhani kama Mwalimu angekuwepo na angekua m/kiti wa c.c.m hai ya kipindi kile kungekua na kuzunguka namna kwa kuogopana na kupigana majungu!c.c.m kwisha kwisha kabisa
 
Washabiki na wanachama wengi wa CHADEMA hupata homa endapo watasikia Lowasa atashiriki kikamilifu katika ushindani wa kisiasa dhidi yao akiisimamia CCM. Hofu na homa hii ya CHADEMA dhidi ya Lowasa ya nini na inatoka wapi?
Idd Amin alishawahi kusema "watu wangu wananiheshimu sana kwa sababu nikiwa na jambo la kuongea naongea nikiwa sina nakaa kimya".JARIBU KUMUIGA.
 
Back
Top Bottom