Kwanini CHADEMA hawana Gazeti, TV na Radio stations au online platform ambayo ni active?

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Dunia ya sasa sio ya kuita watu waache kazi waje kusikiliza siasa. Hii ni changamoto kwa vyama vyote vya siasa.

Siku moja nikisikiliza na kuangalia mdahalo mubashara ITV madiwani na watu wa serikali za mitaa wanalalamika changamoto yao kubwa wakiitisha mkutano hakuna raia anaekuja au wakija ni wachache sana.(mikutano hiyo ni ya maana kuliko ya kisiasa majukwaani maana wananchi wanaitwa kupanga na kusikiliza mapato na matumizi yao na mambo ya msingi yanayokuhusu)

Muda mwingi watu wako mitandaoni, wanasikiliza radio na kutazama TV muda wanaojisikia na wakati wanaotaka. MITANDAO ya kijamii huko ndio balaa.

Siku moja tunasafiri, kwenye chombo cha usafiri wakagawa magazeti ila lile la chama tawala watu hawakulipenda, nikajiuliza sasa hawa wengine badala ya kulalamika mitandaoni walipaswa kuwa wabunifu kutumia fursa ya kudhani wanapendwa kujitangaza na kutangaza mafanikio yao na ya watanzania wanaowaongoza.
Silihesabu Tanzania kama gazeti la chama hicho maana ni la mtu binafsi ambaye anaweza kufirisika au hata kuhama chama maana ni free being.

Kuacha mizunguko kwa nini, CHADEMA hawana Gazeti, TV, Radio station au Online channels kwenye high traffic social medias kama YouTube na Facebook. Na kama vipo vinaufanisi kiasi gani?
 
Dunia ya sasa sio ya kuita watu waache kazi waje kusikiliza siasa. Hii ni changamoto kwa vyama vyote vya siasa.

Siku moja nikisikiliza na kuangalia mdahalo mubashara ITV madiwani na watu wa serikali za mitaa wanalalamika changamoto yao kubwa wakiitisha mkutano hakuna raia anaekuja au wakija ni wachache sana.(mikutano hiyo ni ya maana kuliko ya kisiasa majukwaani maana wananchi wanaitwa kupanga na kusikiliza mapato na matumizi yao na mambo ya msingi yanayokuhusu)

Muda mwingi watu wako mitandaoni, wanasikiliza radio na kutazama TV muda wanaojisikia na wakati wanaotaka. MITANDAO ya kijamii huko ndio balaa.

Siku moja tunasafiri, kwenye chombo cha usafiri wakagawa magazeti ila lile la chama tawala watu hawakulipenda, nikajiuliza sasa hawa wengine badala ya kulalamika mitandaoni walipaswa kuwa wabunifu kutumia fursa ya kudhani wanapendwa kujitangaza na kutangaza mafanikio yao na ya watanzania wanaowaongoza.
Silihesabu Tanzania kama gazeti la chama hicho maana ni la mtu binafsi ambaye anaweza kufirisika au hata kuhama chama maana ni free being.

Kuacha mizunguko kwa nini, CHADEMA hawana Gazeti, TV, Radio station au Online channels kwenye high traffic social medias kama YouTube na Facebook. Na kama vipo vinaufanisi kiasi gani?


JF ni ya chadema, unataka nini tena?
 
Dunia ya sasa sio ya kuita watu waache kazi waje kusikiliza siasa. Hii ni changamoto kwa vyama vyote vya siasa.

Siku moja nikisikiliza na kuangalia mdahalo mubashara ITV madiwani na watu wa serikali za mitaa wanalalamika changamoto yao kubwa wakiitisha mkutano hakuna raia anaekuja au wakija ni wachache sana.(mikutano hiyo ni ya maana kuliko ya kisiasa majukwaani maana wananchi wanaitwa kupanga na kusikiliza mapato na matumizi yao na mambo ya msingi yanayokuhusu)

Muda mwingi watu wako mitandaoni, wanasikiliza radio na kutazama TV muda wanaojisikia na wakati wanaotaka. MITANDAO ya kijamii huko ndio balaa.

Siku moja tunasafiri, kwenye chombo cha usafiri wakagawa magazeti ila lile la chama tawala watu hawakulipenda, nikajiuliza sasa hawa wengine badala ya kulalamika mitandaoni walipaswa kuwa wabunifu kutumia fursa ya kudhani wanapendwa kujitangaza na kutangaza mafanikio yao na ya watanzania wanaowaongoza.
Silihesabu Tanzania kama gazeti la chama hicho maana ni la mtu binafsi ambaye anaweza kufirisika au hata kuhama chama maana ni free being.

Kuacha mizunguko kwa nini, CHADEMA hawana Gazeti, TV, Radio station au Online channels kwenye high traffic social medias kama YouTube na Facebook. Na kama vipo vinaufanisi kiasi gani?
Una uhakika wakiwa na TV au RADIO vitafanya kazi kwa uhuru?
Bora visiwepo maana kila siku vitafungiwa kwa kosa la uchochezi, angalia Mwanahalisi anavyopitia kipindi kigumu ndio utapata jibu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwani TLP, CUF, NLD, TADEA, NCCR, wanavyo ???
Kwanini CHADEMA tuuu??
 
Tulishaomba kurusha TV yetu tulinyimwa. Sijui kama labda twende Uganda ndo tukaombe huko.lkn hapa Noooooooo


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hadi sasa sijaona hoja yenye mashiko kwa nini CHADEMA hawana vitu nilivyouliza.

CHADEMA HAIJAANZA 2015. Ipo tangu 1992 nadhani.
Miaka 25.
Nilitegemea tulianziasha tukazuiwa sio Useme leo tutazuiwa.
Mbona mlithubutu kuandamana UKUTA kwa kuandaa bendera na TShirt huku mkijua haitawezekana.
Au mnachagua vitu vya kudhubutu...

Nawaza....
 
Dunia ya sasa sio ya kuita watu waache kazi waje kusikiliza siasa. Hii ni changamoto kwa vyama vyote vya siasa.

Siku moja nikisikiliza na kuangalia mdahalo mubashara ITV madiwani na watu wa serikali za mitaa wanalalamika changamoto yao kubwa wakiitisha mkutano hakuna raia anaekuja au wakija ni wachache sana.(mikutano hiyo ni ya maana kuliko ya kisiasa majukwaani maana wananchi wanaitwa kupanga na kusikiliza mapato na matumizi yao na mambo ya msingi yanayokuhusu)

Muda mwingi watu wako mitandaoni, wanasikiliza radio na kutazama TV muda wanaojisikia na wakati wanaotaka. MITANDAO ya kijamii huko ndio balaa.

Siku moja tunasafiri, kwenye chombo cha usafiri wakagawa magazeti ila lile la chama tawala watu hawakulipenda, nikajiuliza sasa hawa wengine badala ya kulalamika mitandaoni walipaswa kuwa wabunifu kutumia fursa ya kudhani wanapendwa kujitangaza na kutangaza mafanikio yao na ya watanzania wanaowaongoza.
Silihesabu Tanzania kama gazeti la chama hicho maana ni la mtu binafsi ambaye anaweza kufirisika au hata kuhama chama maana ni free being.

Kuacha mizunguko kwa nini, CHADEMA hawana Gazeti, TV, Radio station au Online channels kwenye high traffic social medias kama YouTube na Facebook. Na kama vipo vinaufanisi kiasi gani?
Mku Chadema wao ndo wanajiweka pembeni wakiamua hata kama hawana fedha wakiitisha harambee kwa mikoa yote au mikoa 7 hiyo fedha inapatikana bila matatizo.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mitale na midimu una mawazo mazuri japo sio mapya hapa jukwaani wala nchini. Ni vyema vyama hasa vya upinzani vikajaribu hilo japo naona ni ngumu kufanya kwa uhuru. Nasema hivyo hasa kuzingatia aina ya siasa chafu za awamu hii ya tano. Hii ni awamu inayoamini katika hisia za mtu, ni awamu hii inayodhani inafanya vizuri sana mpaka hakuna mwingine anayeweza kuokosoa. Katika mazingira haya kujiona ww ndio baba na wengine wote ni watoto wa kuosha choo sidhani kama media za upinzani zitafanya kazi yake.
 
Mku Chadema wao ndo wanajiweka pembeni wakiamua hata kama hawana fedha wakiitisha harambee kwa mikoa yote au mikoa 7 hiyo fedha inapatikana bila matatizo.

Post sent using JamiiForums mobile app
Wanajizuia kufikiri na matatizo yao yote wanaitupia ccm na serikali.
Ukiweka hashtag What would chadema do
Wao watakujibu sisiemu imefanya nini kibaya.
 
unataka chadema iwe na Radio, TV na gazeti ili iongeze idadi ya viwanda nini?
 
Mitale na midimu una mawazo mazuri japo sio mapya hapa jukwaani wala nchini. Ni vyema vyama hasa vya upinzani vikajaribu hilo japo naona ni ngumu kufanya kwa uhuru. Nasema hivyo hasa kuzingatia aina ya siasa chafu za awamu hii ya tano. Hii ni awamu inayoamini katika hisia za mtu, ni awamu hii inayodhani inafanya vizuri sana mpaka hakuna mwingine anayeweza kuokosoa. Katika mazingira haya kujiona ww ndio baba na wengine wote ni watoto wa kuosha choo sidhani kama media za upinzani zitafanya kazi yake.
Yaani kwa ushauri wakifanikiwa kulifanya hili watakuwa wanapiga hatua kubwa sana kwa mpinzani wao.

Hii harambee ikiitushwa fedha zinapatikana juzi kama miezi iliyopita wapo radio walikuwa wanahama kutoka Kurasini kwenda Mbezi Beach walichangiwa na watu tofauti na zoezi likakamilika

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mitale na midimu una mawazo mazuri japo sio mapya hapa jukwaani wala nchini. Ni vyema vyama hasa vya upinzani vikajaribu hilo japo naona ni ngumu kufanya kwa uhuru. Nasema hivyo hasa kuzingatia aina ya siasa chafu za awamu hii ya tano. Hii ni awamu inayoamini katika hisia za mtu, ni awamu hii inayodhani inafanya vizuri sana mpaka hakuna mwingine anayeweza kuokosoa. Katika mazingira haya kujiona ww ndio baba na wengine wote ni watoto wa kuosha choo sidhani kama media za upinzani zitafanya kazi yake.
Mkuu anatekeleza wajibu wake kwa wananchi, wananchi hawa wapo tanzania na wanaona. Kama wataona hafai watawachagua hao Chadema kama wanadhani ni mbadala wa hiki kinachoendelea. Wasiwasi uko wapi.

Binafsi Mkuu wa nchi naona anawafanyia wananchi (sijui wanasiasa) mambo makubwa ya msingi kuliko mwanasiasa yoyote aliyehai tanzania hii kama akipewa viatu vyake. Na ninamatumaini mambo yatakuwa mazuri.
 
Back
Top Bottom