Kwanini CCM wanaidharau na kutaka kuikomoa Arusha?

Kwanini CCM wanaidharau na kutaka kuikomoa Arusha?

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,995
Reaction score
13,509

1758555938500.png

Kwa wanaojua namna wana Arusha wanavyojitambua na walivyo na historia ya kuchagua upinzani ukiondoa mwaka 2020 ambapo Magufuli aliwafanyia ujambazi, anashangaa maana na mantiki ya CCM kuweka Daudi Albert Bashite kama mgombea wao.

Sidhani kama anaweza kupata kura hata moja kama kura hazitachakachuliwa. Nadhani, bila uchakachuaji, hata angegombea na kuku, angeshindwa tu.

Nafikiri kimya kimya.
 
Arusha ilikua zamani aisee, sasa hivi ccm wameshawawin.

Hawana ujanja tena.
 
Arusha au Ashura 😂😂😂 serikali ya Malawi haijawai shindwa uchaguzi sijui wewe wamaanisha uchaguzi Gani?
 
Tunachotaka ni maendeleo, akishindwa kuwaletea maendeleo ataondoshwa chap, nakumbuka walimwambia hivyo Gambo...ni

vile kule hata Madiwani wanajielewa na wanapenda maendeleo Wallah tafauti na sie
 
We mjanja na mjuaji
Kwanini hukujitokeza kuchukua fomu?
 
Bro unaandika ukiwa dar au, niliwahi sema zamani kidogo maandamano ya arusha juzi Kati huku wakiwa na kibao cha kumpinga polepole kilinishangaza sio arusha nayoijua leo hii ili chadema wajaze mikutano mpaka wafanyie njia ya kuingia sokoni pale kwenye kijiwe cha kahawa au stendi bondeni ndani lasivyo wanaambulia patupu watu wako bize utafikiri chadema ni chama kipya inasikitisha sana yani arusha ya leo hadi wahuni wanavaa ccm
 
Back
Top Bottom