Inasikitisha kuona Elimu ya Tanzania inachezewa na wanasiasa wa ccm, nikweli wanasiasa ni wadau kwenye maswala ya elimu lkn hila lakuchezea elimu ya vijana we2 tunalipinga kwa nguvu zote. Walipogundua kukosa kura kwenye uchaguz mkuu Maghembe akatangaza kuondoa ada ya mitihan kwa elimu ya secondary mwaka 1 baada yakujitangaza washndi wa uchaguzi wazir mlugo anatangaza kurudisha ada ya mitihani. Je 2014 watafuta tena ili kupata kura 2015?? Mbaya zaidi ni hli la kufuta mtihani wa fom 2 ulikuwa mtihan muhmu sana kwa matokeo mazuri ya kidato cha nne wakahamu kufuta ili washnde uchaguzi matokeo yake asilimi 80 yawanafunzi waliopita bila kuchujwa fom 2 wamefeli mtihan wa fom 4 je tuseme hawa walaghai wa ccm hawakujua yatatokea matokeo mabovu? Eti wanajidai wamerudish mtihani baada yautafiti kubaini kufel kwa fom 4 nikutokana nakuondolewa kwa mtihan wa fom 2! Hamkulijua hlo ACHENI KUCHEZA NA ELIMU YA VIJANA WE2 Wana jf nawasilisha!