Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
SAU ilikufa nadhani Malima ndiye alikuwa huko lakini akarudi CCM na ukawa mwisho wa SAU kama sijakosea . NI kachama kalikuwa na uislam ile mbaya
hii ni kweli kabisa lakini kuna kachama kamoja nilikuwa na kasikia wanakiita sauti ya umma(sau)
lakini nao sasa wamelala sijui niukata au ni nini