Mikakati yote bila katiba mpya ni bure. Endeleea kulia lia hivyo hivyoUkifuatilia kwa makini siasa za Tanzania zimeingia kwenye mtego wa ushabiki badala ya malengo chanya ya Kitaifa.
CCM imekuwa ikitumia makada wake wa uenezi kufanya siasa za kishabiki zisizo na uzamivu wenye mantiki. Hoja kubwa za wanaCCM ni namna wanavyoweza kudhibiti mihemko na kushangilia unyama unaofanywa na dola dhidi ya CHADEMA. Agenda za Vijana, uchumi, afya, diplomasia, ulinzi na usalama ziliisha miaka mingi nyuma. Leo CCM ni ushabiki, timu na kubeba mabegi.
CHADEMA, kwa upande wao wanademka na ngoma ya CCM kupitis dola. Ushabiki, kujifariji, ramli za kisiasa na hoja za kuhurumiwa hurumiwa. Kuna wakati wanakuja na hoja makini kama Katiba Mpya, Uhuru wa maoni na masuala ya haki za kijamii lakini hawana mikakati zaidi ya kutumia wanaharakati ambao hawana uanagenzi kwenye siasa za kimkakati.
Kwenye vyama vyote hivi tulivyonavyo kuna jambo kubwa wanalimiss. Kinachokosekana kwenye hoja ama mikakati yao ni WATANZANIA. Watanzania ni hoja inayopigwa chenga na vyama vingi vya siasa ikiwemo CCM na CHADEMA.
Mwaka huu tunafunga miaka 60 ya tangu tupate uhuru kama Taifa (Tanganyika). Lakini chama tawala mpaka sasa kinasimama na agenda za
Maji
Umeme
Miundombinu
.....
Wakati huo huo miaka hiyo yote tumeshuhudia anguko kubwa la
Elimu
Ajira
Ukwasi wa wananchi
Amani
Haki
Mtego ambao CHADEMA na vyama kinzani wamenasa ni kushindwa kujikita kwenye kujenga matumaini ya Watanzania kwenye agenda zao muhimu za maisha hivyo kila tunapofikia uchaguzi mkuu, wananchi wanaona bora kuibiwa kura zao kuliko kulinda ushindi halali. Wanaona heri zimwi likujualo kuliko zimwi jipya wanalohisi linaweza kuwatafuna mpaka roho zao.
Viongozi wa CHADEMA wamekuwa wakikwepa kuwa na tahadhari kwenye kauli zao kwa umma. Taarifa zao nyingi zinasibdikizwa na mvumo wa damu kumwagika. Hakuna mtanzania anayependa hilo.
CCM imetumia nafasi hiyo kueneza hofu na vitisho kwa wananchi dhidi ya vyama.vya upinzani. Hili ni kosa kubwa kisiasa. Ni ubaguzi mbaya kabisa kufanywa na chama kilichoongoza mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini.
RAI
CHADEMA na vyama vya upinzani wajikite sasa kuweka mikakati ya namna watakavyotibu majeraha yaliyotokana na utendaji wenye mashaka wa serikali ya CCM.
CHADEMA na vyama vya upinzani viwapelekee wananchi matumaini ya uongozi bora, uliotukuka na kidemokrasia kwa mifano hai kutoka ndani vya vyama hivyo.
CCM inapaswa kubadilika au watajikuta wametupwa nje ya ulingo wa kisiasa kwa namna ya ajabu kabisa.
Ni wakati wa kila upande kubadilika au la waendelee na midemko wanayokwenda nayo sasa.
View attachment 1982618
Naona umesaidia kuidadavua hoja yangu hapo juu.Umeandika kana kwamba hujui nini kinaendelea ktk nchi hii kuhusuniana na vyama vya siasa.
Maoni yako yangekuwa na maana kama uhuru wa kufanya siasa kwa vyama vya siasa ungekuwepo.
Hebu tueleze;
1. Ina maana mpaka hatua hii wewe hujui kabisa kuwa kwa sasa CCM kwa kutumia dola inataka kuhakikisha kuwa vyama vyenye nguvu ya kutoa ushindani wa kisera na mikakati ya namna ya kuendesha nchi vinakufa ama kutoweka kabisa?
2. Ina maana huelewi kuwa CCM kwa kutumia dola imezuia mazingira yoyote [mikutano ya ndani, ya nje na makongamano yoyote] ya CHADEMA kujinadi kwa umma ili kujieneza?
3. Unategemea chama cha siasa kitafanya nini iwapo kinakabiliwa na mazingira ya namna hii?
JIBU NI RAHISI TU, kuwa NI KUPAMBANIA UHAI [EXISTENCE] YAKE KWANZA.
Hata hivyo labda wewe huoni tu, kuwa, kupitia mazungira haya haya watu [umma] unawajua na kuwatambua CHADEMA tena kwa sympathy kubwa kwani wanaona hata namna wanavyoonewa na kunyanyaswa na dola bila sababu zozote.
NOTE: Katika mazingira haya haya, CHADEMA wako on the right track na wanafanya vizuri sana and they are becoming more stronger day in, day out.
IPO siku CCM hii iliyokwisha kuchoka na kukosa mbinu za kisiasa kutawala ita surrender na dola itachoka kuibeba na kuutumikia ushetani wake na itapotea kabisa ktk uso wa Tanzania.
CCM ilishakufa na Nyerere sasa kilichobaki ni kikundi cha watu wanaojiita CCM, tukiondoe kikundi hiki kinaua nchi yetu.Ukifuatilia kwa makini siasa za Tanzania zimeingia kwenye mtego wa ushabiki badala ya malengo chanya ya Kitaifa.
CCM imekuwa ikitumia makada wake wa uenezi kufanya siasa za kishabiki zisizo na uzamivu wenye mantiki. Hoja kubwa za wanaCCM ni namna wanavyoweza kudhibiti mihemko na kushangilia unyama unaofanywa na dola dhidi ya CHADEMA. Agenda za Vijana, uchumi, afya, diplomasia, ulinzi na usalama ziliisha miaka mingi nyuma. Leo CCM ni ushabiki, timu na kubeba mabegi.
CHADEMA, kwa upande wao wanademka na ngoma ya CCM kupitis dola. Ushabiki, kujifariji, ramli za kisiasa na hoja za kuhurumiwa hurumiwa. Kuna wakati wanakuja na hoja makini kama Katiba Mpya, Uhuru wa maoni na masuala ya haki za kijamii lakini hawana mikakati zaidi ya kutumia wanaharakati ambao hawana uanagenzi kwenye siasa za kimkakati.
Kwenye vyama vyote hivi tulivyonavyo kuna jambo kubwa wanalimiss. Kinachokosekana kwenye hoja ama mikakati yao ni WATANZANIA. Watanzania ni hoja inayopigwa chenga na vyama vingi vya siasa ikiwemo CCM na CHADEMA.
Mwaka huu tunafunga miaka 60 ya tangu tupate uhuru kama Taifa (Tanganyika). Lakini chama tawala mpaka sasa kinasimama na agenda za
Maji
Umeme
Miundombinu
.....
Wakati huo huo miaka hiyo yote tumeshuhudia anguko kubwa la
Elimu
Ajira
Ukwasi wa wananchi
Amani
Haki
Mtego ambao CHADEMA na vyama kinzani wamenasa ni kushindwa kujikita kwenye kujenga matumaini ya Watanzania kwenye agenda zao muhimu za maisha hivyo kila tunapofikia uchaguzi mkuu, wananchi wanaona bora kuibiwa kura zao kuliko kulinda ushindi halali. Wanaona heri zimwi likujualo kuliko zimwi jipya wanalohisi linaweza kuwatafuna mpaka roho zao.
Viongozi wa CHADEMA wamekuwa wakikwepa kuwa na tahadhari kwenye kauli zao kwa umma. Taarifa zao nyingi zinasibdikizwa na mvumo wa damu kumwagika. Hakuna mtanzania anayependa hilo.
CCM imetumia nafasi hiyo kueneza hofu na vitisho kwa wananchi dhidi ya vyama.vya upinzani. Hili ni kosa kubwa kisiasa. Ni ubaguzi mbaya kabisa kufanywa na chama kilichoongoza mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini.
RAI
CHADEMA na vyama vya upinzani wajikite sasa kuweka mikakati ya namna watakavyotibu majeraha yaliyotokana na utendaji wenye mashaka wa serikali ya CCM.
CHADEMA na vyama vya upinzani viwapelekee wananchi matumaini ya uongozi bora, uliotukuka na kidemokrasia kwa mifano hai kutoka ndani vya vyama hivyo.
CCM inapaswa kubadilika au watajikuta wametupwa nje ya ulingo wa kisiasa kwa namna ya ajabu kabisa.
Ni wakati wa kila upande kubadilika au la waendelee na midemko wanayokwenda nayo sasa.
View attachment 1982742
Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuwepo kwa miaka mingi ijayo.CCM ilishakufa na Nyerere sasa kilichobaki ni kikundi cha watu wanaojiita CCM, tukiondoe kikundi hiki kinaua nchi yetu.
Tunataka tuone hayo mabadiliko ya kweli toka kwako maana wengine wote wameshindwa isipokuwa weweSiyo kila mwenye sauti kubwa na kali anafaa kuwa kiongozi.
Nimetoa maoni tu, wala sina interest ya hayo unayoniambia
Wewe mtoa hoja mkuu, siwezi kupanic sababu najua huna ushawishi wowote mkuuUnaposema TUNATAKA... unamaanisha akina nani?
Mkuu naona kama umepanic. Haya ni maoni tu kwa kiroho safi.
Mi nawapenda maendeleo wengineHaya mkuu,
jibu swali langu, unaposema TUNATAKA unamaanisha wewe na nani hao?
Usijulikana ni wewe mkuu mi najulikana vizuribahati nzuri njia ya muongo ni fupi.
Unajifanya kuwakilisha wasiojulikana mtandaoni na yet hauna hoja zaidi ya kudemka
Matumaini ya watanzania yamedidimizwa na ccm, Kwa mtindo wao wa siasa zakushindwa ushindani wa hoja na badala yake kufikisha agenda zake pekee Kwa uma huku wakiwazuia washindani wake, Kwa kwakitumia polisi, nec, mamlaka za utoaji haki, na zile mamlaka za usimamizi wa Sheria mbalimbali.Ukifuatilia kwa makini siasa za Tanzania zimeingia kwenye mtego wa ushabiki badala ya malengo chanya ya Kitaifa.
CCM imekuwa ikitumia makada wake wa uenezi kufanya siasa za kishabiki zisizo na uzamivu wenye mantiki. Hoja kubwa za wanaCCM ni namna wanavyoweza kudhibiti mihemko na kushangilia unyama unaofanywa na dola dhidi ya CHADEMA. Agenda za Vijana, uchumi, afya, diplomasia, ulinzi na usalama ziliisha miaka mingi nyuma. Leo CCM ni ushabiki, timu na kubeba mabegi.
CHADEMA, kwa upande wao wanademka na ngoma ya CCM kupitis dola. Ushabiki, kujifariji, ramli za kisiasa na hoja za kuhurumiwa hurumiwa. Kuna wakati wanakuja na hoja makini kama Katiba Mpya, Uhuru wa maoni na masuala ya haki za kijamii lakini hawana mikakati zaidi ya kutumia wanaharakati ambao hawana uanagenzi kwenye siasa za kimkakati.
Kwenye vyama vyote hivi tulivyonavyo kuna jambo kubwa wanalimiss. Kinachokosekana kwenye hoja ama mikakati yao ni WATANZANIA. Watanzania ni hoja inayopigwa chenga na vyama vingi vya siasa ikiwemo CCM na CHADEMA.
Mwaka huu tunafunga miaka 60 ya tangu tupate uhuru kama Taifa (Tanganyika). Lakini chama tawala mpaka sasa kinasimama na agenda za
Maji
Umeme
Miundombinu
.....
Wakati huo huo miaka hiyo yote tumeshuhudia anguko kubwa la
Elimu
Ajira
Ukwasi wa wananchi
Amani
Haki
Mtego ambao CHADEMA na vyama kinzani wamenasa ni kushindwa kujikita kwenye kujenga matumaini ya Watanzania kwenye agenda zao muhimu za maisha hivyo kila tunapofikia uchaguzi mkuu, wananchi wanaona bora kuibiwa kura zao kuliko kulinda ushindi halali. Wanaona heri zimwi likujualo kuliko zimwi jipya wanalohisi linaweza kuwatafuna mpaka roho zao.
Viongozi wa CHADEMA wamekuwa wakikwepa kuwa na tahadhari kwenye kauli zao kwa umma. Taarifa zao nyingi zinasibdikizwa na mvumo wa damu kumwagika. Hakuna mtanzania anayependa hilo.
CCM imetumia nafasi hiyo kueneza hofu na vitisho kwa wananchi dhidi ya vyama.vya upinzani. Hili ni kosa kubwa kisiasa. Ni ubaguzi mbaya kabisa kufanywa na chama kilichoongoza mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini.
RAI
CHADEMA na vyama vya upinzani wajikite sasa kuweka mikakati ya namna watakavyotibu majeraha yaliyotokana na utendaji wenye mashaka wa serikali ya CCM.
CHADEMA na vyama vya upinzani viwapelekee wananchi matumaini ya uongozi bora, uliotukuka na kidemokrasia kwa mifano hai kutoka ndani vya vyama hivyo.
CCM inapaswa kubadilika au watajikuta wametupwa nje ya ulingo wa kisiasa kwa namna ya ajabu kabisa.
Ni wakati wa kila upande kubadilika au la waendelee na midemkowanayokwenda nayo sasa.Ukifuatilia kwa makini siasa za Tanzania zimeingia kwenye mtego wa ushabiki badala ya malengo chanya ya Kitaifa.
CCM imekuwa ikitumia makada wake wa uenezi kufanya siasa za kishabiki zisizo na uzamivu wenye mantiki. Hoja kubwa za wanaCCM ni namna wanavyoweza kudhibiti mihemko na kushangilia unyama unaofanywa na dola dhidi ya CHADEMA. Agenda za Vijana, uchumi, afya, diplomasia, ulinzi na usalama ziliisha miaka mingi nyuma. Leo CCM ni ushabiki, timu na kubeba mabegi.
CHADEMA, kwa upande wao wanademka na ngoma ya CCM kupitis dola. Ushabiki, kujifariji, ramli za kisiasa na hoja za kuhurumiwa hurumiwa. Kuna wakati wanakuja na hoja makini kama Katiba Mpya, Uhuru wa maoni na masuala ya haki za kijamii lakini hawana mikakati zaidi ya kutumia wanaharakati ambao hawana uanagenzi kwenye siasa za kimkakati.
Kwenye vyama vyote hivi tulivyonavyo kuna jambo kubwa wanalimiss. Kinachokosekana kwenye hoja ama mikakati yao ni WATANZANIA. Watanzania ni hoja inayopigwa chenga na vyama vingi vya siasa ikiwemo CCM na CHADEMA.
Mwaka huu tunafunga miaka 60 ya tangu tupate uhuru kama Taifa (Tanganyika). Lakini chama tawala mpaka sasa kinasimama na agenda za
Maji
Umeme
Miundombinu
.....
Wakati huo huo miaka hiyo yote tumeshuhudia anguko kubwa la
Elimu
Ajira
Ukwasi wa wananchi
Amani
Haki
Mtego ambao CHADEMA na vyama kinzani wamenasa ni kushindwa kujikita kwenye kujenga matumaini ya Watanzania kwenye agenda zao muhimu za maisha hivyo kila tunapofikia uchaguzi mkuu, wananchi wanaona bora kuibiwa kura zao kuliko kulinda ushindi halali. Wanaona heri zimwi likujualo kuliko zimwi jipya wanalohisi linaweza kuwatafuna mpaka roho zao.
Viongozi wa CHADEMA wamekuwa wakikwepa kuwa na tahadhari kwenye kauli zao kwa umma. Taarifa zao nyingi zinasibdikizwa na mvumo wa damu kumwagika. Hakuna mtanzania anayependa hilo.
CCM imetumia nafasi hiyo kueneza hofu na vitisho kwa wananchi dhidi ya vyama.vya upinzani. Hili ni kosa kubwa kisiasa. Ni ubaguzi mbaya kabisa kufanywa na chama kilichoongoza mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini.
RAI
CHADEMA na vyama vya upinzani wajikite sasa kuweka mikakati ya namna watakavyotibu majeraha yaliyotokana na utendaji wenye mashaka wa serikali ya CCM.
CHADEMA na vyama vya upinzani viwapelekee wananchi matumaini ya uongozi bora, uliotukuka na kidemokrasia kwa mifano hai kutoka ndani vya vyama hivyo.
CCM inapaswa kubadilika au watajikuta wametupwa nje ya ulingo wa kisiasa kwa namna ya ajabu kabisa.
Ni wakati wa kila upande kubadilika au la waendelee na midemko wanayokwenda nayo sasa.
View attachment 1982742
View attachment 1982742
Nini mtazamo wako?Matumaini ya watanzania yamedidimizwa na ccm, Kwa mtindo wao wa siasa zakushindwa ushindani wa hoja na badala yake kufikisha agenda zake pekee Kwa uma huku wakiwazuia washindani wake, Kwa kwakitumia polisi, nec, mamlaka za utoaji haki, na zile mamlaka za usimamizi wa Sheria mbalimbali.