Kwanini CCM iwatukane Watanzania hivi?

Kwanini CCM iwatukane Watanzania hivi?

Ccm Wako Sahihi Kabisa Kuwaita Hivyo Kwasababu Watu Wenye Akili Za Kawaida Hawawezi Wakaendelea Kuipigia Kura Ccm Kwa Maovu Wanayoyafanya, Hata Wao Wenyewe Wanashangaa Ukiacha Wenzetu Wa Nchi Jilani Huwa Wanatushangaa Hawatumalizi Mpaka Kagame Alidiliki Kutuita Ng'ombe Akimwambia Mkapa Wewe Nikikupa Uiongoze Hii Lwanda Masaa Sita Tu Utakuwa Kichaa

hyo ni kweli mkuu, ccm wanatushangaa sisi watanzania kwa kututukana kabisa lakini sijui tumeziba masikio!!
 
leta sera wewe.....mambo ya kutukanwa yametoka wapi....vithibitisho vikwapi umetukanwa??? post hainamashiko
hii.....zinduka waza maendeleo wametukanwa wangapi...ndo maana
hatuachi kuwa maskiini kushada dadia
mambo yasiyo ya msingi...nawasiwasi
na.elimu yako...mtu alielimika hawez
post vitu kama hivi
Wewewe ndiye elimu yako ni mashaka makubwa.
 
Dharau na matusi ya ccm hayaishii kuwaita wapiga kura wao walevi bali hata kitendo cha huduma za jamii kudorora na kuwa dhaifu ni tusi kubwa kwani wamekaa madarakani kipindi kirefu.
Umaskini ulokithiri kwa wananchi walio wengi ni tusi kwao kwani ccm iliwaibia fedha zao za maendeleo. Ccm na watuambie ni nani aliyeshtakiwa na kufilisiwa mali alizopata kifisadi kati ya zile za epa na escrow?

Lakini hata mm nachelea kukubaliana na hicho, mbona yasemwayo na viongozi wa ukawa hamuyajadili? Au inawezekana na ww ni sehemu ya viroba na hukijiandikisha, kwa wakati mwingine ni ujinga unaofanyika FB, chungeni sana uchangiaji wenu.
 
Mm naamini hiyo kauli ni kweli, ila october 25 kila mtu ajiandae kuchukua kichinjio chake tayar kuwatoa ccm madarakan. Hebu vijana tuache maneno mengi ila tufanye kwa vitendo october 25
 
Sishangai maana Hata viongoz wakubwa sana ndan ya serikal hii nape huwatukanaga kuwaita makapi et kisa hawajateuliwa u rais ccm ni ya riz 1
 
Kweli bwana,huyu jamaa alisema kama huna nauli piga mbizi kwenda kigamboni.
 
Viroba ni pombe halali na inalipiwa kodi sasa ccm sijui wanaumwa nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom