Kwanini CCM iwatukane Watanzania hivi?

Kwanini CCM iwatukane Watanzania hivi?

Awsom

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
1,085
Reaction score
307
Habarini Wakuu,

Hivi kuna sababu gani kwa CCM kuwadharau,kuwakebehi na kuwatukana watanzania hivi? Hivi hawaoni thamani yetu?
Wametudharau kwa haya:-

-Wamewaita Vijana Wavuta bangi,Wanywa viroba,Vibaka

-Wamewaita waalimu Mbayuwayu (na wakati wana madai yao ya msingi)

-Maneno kama: kama huwezi kulipa nauli piga mbizi. Kweli?

-Tutashinda hata kwa goli la mkono.

Kwanini kuwaita watanzania Vibaka na wanywa viroba halafu bado unataka kura zao?
 
Kuna ukweli hapa wadau !
Haihitaji hata kufikiri x 2 kuuwona !
 
Kuhusu la viroba Ccm wako sawa !
Niulize sawa kivipi?
Ni dhahiri kuipa ccm kura yako currently ! Ukiwa timamu kichwani si rahisi !
But ukiwa kiroba kichwani utapeana na ccm!
 
Habarini Wakuu,

Hivi kuna sababu gani kwa CCM kuwadharau,kuwakebehi na kuwatukana wanzania hivi? Hivi hawaoni thamani yetu?
Wametudharau kwa haya:-

-Wamewaita Vijana Wavuta bangi,Wanywa viroba,Vibaka

-Wamewaita waalimu Mbayuwayu (na wakati wana madai yao ya msingi)

-Maneno kama: kama huwezi kulipa nauli piga mbizi. Kweli?

-Tutashinda hata kwa goli la mkono.

Kwanini kuwaita watanzania Vibaka na wanywa viroba halafu bado unataka kura zao?

CCM wamejichokea, unakashifu viroba, wakati safari za mkuu wa Kaya zimegharimiwa na hivyo viroba.
 
Wi-Fi connection is available ������
 
leta sera wewe.....mambo ya kutukanwa yametoka wapi....vithibitisho vikwapi umetukanwa??? post hainamashiko hii.....zinduka waza maendeleo wametukanwa wangapi...ndo maana hatuachi kuwa maskiini kushadadadia mambo yasiyo ya msingi...nawasiwasi na elimu yako...mtu alielimika hawez post vitu kama hivi
 
leta sera wewe.....mambo ya kutukanwa yametoka wapi....vithibitisho vikwapi umetukanwa??? post hainamashiko hii.....zinduka waza maendeleo wametukanwa wangapi...ndo maana hatuachi kuwa maskiini kushadadadia mambo yasiyo ya msingi...nawasiwasi na elimu yako...mtu alielimika hawez post vitu kama hivi

Kachukue elfu 7 yako,ukale,ukanye kisha ukalale...wezi nyie,HAKUNA MTANZANIA WA KUDANGANYWA TENA.
 
Nape amesema wanaojaa ktk mikutano ya UKAWA ni viroba na bangi..

CCM Wataweka cheka...Wapiga kura wengi ndio hao.
 
leta sera wewe.....mambo ya kutukanwa yametoka wapi....vithibitisho vikwapi umetukanwa??? post hainamashiko hii.....zinduka waza maendeleo wametukanwa wangapi...ndo maana hatuachi kuwa maskiini kushadadadia mambo yasiyo ya msingi...nawasiwasi na elimu yako...mtu alielimika hawez post vitu kama hivi

hivi kaka hasiye elimika ni yupi?

Kati ya aliye elewa ametukanwa?

Na yule ata akitukanwa upiga makofi na kupongeza?
 
Ccm Wako Sahihi Kabisa Kuwaita Hivyo Kwasababu Watu Wenye Akili Za Kawaida Hawawezi Wakaendelea Kuipigia Kura Ccm Kwa Maovu Wanayoyafanya, Hata Wao Wenyewe Wanashangaa Ukiacha Wenzetu Wa Nchi Jilani Huwa Wanatushangaa Hawatumalizi Mpaka Kagame Alidiliki Kutuita Ng'ombe Akimwambia Mkapa Wewe Nikikupa Uiongoze Hii Lwanda Masaa Sita Tu Utakuwa Kichaa
 
Dharau na matusi ya ccm hayaishii kuwaita wapiga kura wao walevi bali hata kitendo cha huduma za jamii kudorora na kuwa dhaifu ni tusi kubwa kwani wamekaa madarakani kipindi kirefu.
Umaskini ulokithiri kwa wananchi walio wengi ni tusi kwao kwani ccm iliwaibia fedha zao za maendeleo. Ccm na watuambie ni nani aliyeshtakiwa na kufilisiwa mali alizopata kifisadi kati ya zile za epa na escrow?
 
hata wangetuita wapumbavu nazani wako sahihi kwasababu miaka 51 wako madarakani na hakuna wanachokyfanya cha maendeleo lakini tunazidi kuwachagua tu
 
Siasa bana kweli mchezo mchafu angalia wanavobishana upige kura usipe kura washindi wanajulikana mm nakaaga tu ndani na wife maana hata ukenda kupiga ndo yaleyale mwisho wa siku cdm linashinda km si kuiba bas kimabavu
 
leta sera wewe.....mambo ya kutukanwa yametoka wapi....vithibitisho vikwapi umetukanwa??? post hainamashiko hii.....zinduka waza maendeleo wametukanwa wangapi...ndo maana hatuachi kuwa maskiini kushadadadia mambo yasiyo ya msingi...nawasiwasi na elimu yako...mtu alielimika hawez post vitu kama hivi

Kwani uongo ccm hawatukani vijana na kuwaita wanywa viroba na vibaka?
 
leta sera wewe.....mambo ya kutukanwa yametoka wapi....vithibitisho vikwapi umetukanwa??? post hainamashiko hii.....zinduka waza maendeleo wametukanwa wangapi...ndo maana hatuachi kuwa maskiini kushadadadia mambo yasiyo ya msingi...nawasiwasi na elimu yako...mtu alielimika hawez post vitu kama hivi

Acha awafurahishe vibuyu wenzie
 
Hao vibaka na wanywa viroba nani kawatengeneza? utalaumuje u.h.a.r.o unaoutoa mwenyewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom