johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Ukifuatilia kwa makini utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama CHADEMA na ACT Wazalendo
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!
Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe
Mungu ni Mwema wakati wore!