Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,240
- 90,297
Nakumbuka mwaka 2015 kurudi nyuma wanachama wote wa CCM walikuwa wana haki ya kuchagua wagombea ubunge na udiwani, kuanzia mwaka 2020 ikawa wajumbe tu ndio wana haki ya kuchagua wagombea,
Sasa mwaka 2025 nasikia wagombea wanachaguliwa kwanza kwenye ngazi ya mkoa ndipo wajumbe wanapewa kuchagua kati ya majina matatu tu!
Haya mabadiliko ya kuondoa wanachama wote kuchagua wagombea yalifanywa kwa sababu zipi hasa?
Sasa mwaka 2025 nasikia wagombea wanachaguliwa kwanza kwenye ngazi ya mkoa ndipo wajumbe wanapewa kuchagua kati ya majina matatu tu!
Haya mabadiliko ya kuondoa wanachama wote kuchagua wagombea yalifanywa kwa sababu zipi hasa?