Hello Wazee kwenye Jukwaa,
Naanza kwa kuwasalim wote. Last week nilikuta mjadala kuhusu kiwango cha elimu kati ya UDSM graduates na vyuo vingine. Mjadala ulikuwa mkali mno but kwangu ulinipelekea kufikiria mchango wa maprofs na PHD holders na other graduates kwenye jamii.
Hivi wanajamii tunaridhishwa na mchango wao or nao ni mavuvuzela tu? sometimes kumekuwa na kauli kwamba wanasomea kupanda vyeo tu na wakimaliza shule husahau kila kitu.. sina hakika.
wadau mwasemaje kuhusu hili? mimi nimetoa mtaani, wenye data watolee maelezo zaidi.
Nawasilisha!!:mullet:
Naanza kwa kuwasalim wote. Last week nilikuta mjadala kuhusu kiwango cha elimu kati ya UDSM graduates na vyuo vingine. Mjadala ulikuwa mkali mno but kwangu ulinipelekea kufikiria mchango wa maprofs na PHD holders na other graduates kwenye jamii.
Hivi wanajamii tunaridhishwa na mchango wao or nao ni mavuvuzela tu? sometimes kumekuwa na kauli kwamba wanasomea kupanda vyeo tu na wakimaliza shule husahau kila kitu.. sina hakika.
wadau mwasemaje kuhusu hili? mimi nimetoa mtaani, wenye data watolee maelezo zaidi.
Nawasilisha!!:mullet: