CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,238
Ukifutalia kwa karibu utagundua wafanyakazi wa ndani kama housegirl wanajitahidi sana katika kuwajibika kwa mujibu wa majukumu wanayopangiwa na mabosi wao kama kuangalia watoto,kuwapikia na kuwapeleka shule n.k.
Chakusikitisha wanapokosea kwa bahati mbaya kama kucheleesha chakula au kuwaandibu watoto wa mabosi wao hukumbana na wakati mgumu sana kutoka kwa waajiri wao, ni kwanini huwa mabosi wanasahau wema wote wa wafanyakazi wao na kuwakalipia ima kuwapiga vibaya kwa kosa moja tu?
Mtoto anafanya mazuri mengi lakini akikosea mara moja tu wazazi husahau mazuri yote na kuambulia kipigo kutoka kwa wazazi au walimu wake?
KWANINI REACTION HIZI HAZIJITOKEZI WAKATI MTU AKITENDA MAZURI ILA HIJITOKEZA AKISHAFANYA MABAYA TU?
Chakusikitisha wanapokosea kwa bahati mbaya kama kucheleesha chakula au kuwaandibu watoto wa mabosi wao hukumbana na wakati mgumu sana kutoka kwa waajiri wao, ni kwanini huwa mabosi wanasahau wema wote wa wafanyakazi wao na kuwakalipia ima kuwapiga vibaya kwa kosa moja tu?
Mtoto anafanya mazuri mengi lakini akikosea mara moja tu wazazi husahau mazuri yote na kuambulia kipigo kutoka kwa wazazi au walimu wake?
KWANINI REACTION HIZI HAZIJITOKEZI WAKATI MTU AKITENDA MAZURI ILA HIJITOKEZA AKISHAFANYA MABAYA TU?