Kwanini binadamu hawezi kuumba mtu?

Kwanini binadamu hawezi kuumba mtu?

Maana ya ROHO ni mada defu sana kiifanunua, lakin kwa ufupi roho ni uhai unamuwezesha kiumbe hai kuishi.

Nafikiri utakuwa umenielewa.

Ingekuwa inawezekana kuumba mtu basi wangeanza kwanza kuzuia mtu asife.
 
hebu mkuu tuambie wakati unafikiria kuandika hicho unachokusudia ulikuwa katika mazingira gani unafanya nn na ilikuwaje ukafikiria hay a mambo haukutumia kilevi chochote kweli weka wazi
 
Kutojua square root ya mbili kwamba ni ngapi? haina uhusiano wowote wa kuthibitisha kwamba mungu hayupo. maswala ya square root huwezi kabisa akamfundisha mtoto mdogo akakuelewa nakufuta dhana yake ya kwamba mungu yupo kwa sababu kaumba ulimwengu na viumbe hai.

nimekuambia hujatoa hoja badala yake umetoa mfano wa hoja.

nimesema mungu yupo kwa sababu kazi zake zinaonekana hoja yangu inaeleweka hata kwa mtoto ambaye hajaenda shule hata kichaa anaelewa.

mtumishi wa MUNGU Eiyer pita huku mkuu eti hata wewe unaweza ukamweleza mtoto wako mdogo kwamba Mungu hayupo kwa sababu hujui square root ya mbili ni ngapi??

Kiranga tafuta hoja nyingine maswala yako ya kutokujua square root ya mbili siyo dhana ya kupinga kwamba mungu hayupo.

Kiranga yupo hapa kukataa tu na sio kutaka kujifunza na kuwafundisha wengine,kama una muda wa kupoteza endelea nae ......!
 
Kiranga yupo hapa kukataa tu na sio kutaka kujifunza na kuwafundisha wengine,kama una muda wa kupoteza endelea nae ......!

Nimekuelewa vizuri sana. sitorundia tena kuhangaika naye hata siku moja.
 
uyu mleta mada anatumia bangggg ya wapi?ivi ajiulize ivi..gari inaweza kujitengeneza?
 

Attachments

  • 1424420125925.jpg
    1424420125925.jpg
    11.5 KB · Views: 52
Back
Top Bottom