Kwanini barabara ya Bahi Road Dodoma haina taa za usiku?

Kwanini barabara ya Bahi Road Dodoma haina taa za usiku?

wakali ndondo

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
576
Reaction score
899
Serikali ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliangalie hili la Ukosefu wa taa za usiku barabara ya bahi road kipande cha machinga complex mpaka 4ways ni hatari sana kwa watumia vyombo vya moto na watembea kwa miguu


Lile tuta la katikati ya barabara halionekani nyakati za usiku magari mengi yanalipanga
 
Serikali ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliangalie hili la Ukosefu wa taa za usiku barabara ya bahi road kipande cha machinga complex mpaka 4ways ni hatari sana kwa watumia vyombo vya moto na watembea kwa miguu
Lile tuta la katikati ya barabara halionekan nyakati za usiku magari mengi yanalipanga
Nikweri
 
Back
Top Bottom