Wanaomtuhumu Lowasa kisa kachukua form ni vilaza tu na hata wachangiaji wengi wa JF wanaosapoti hilo ni vilaza tu coz kuna watia nia 40 ndani ya ccm na kati yao atapitishwa mmoja na wenye mamlaka ya kupitisha wagombea 5 ni cc yenye wajumbe 28 tu hivyo ni ujinga kuanza kumshambulia mtu mmoja as if ni yy tu asiefaa kati ya wagombea wote 40 kitu ambacho sio kweli.
Suala la kugawa pesa ni la kawaida kbs kwa uchaguzi hasa ndani ya ccm miaka yote ndio maana hata wabunge wa ccm ni wale wenye pesa tu ndo wanashindaga kwenye kura za maoni hivyhivyo kwa rais pia hilo loko wazi.
Kwa hiyo sioni busara kumshambulia Lowasa kisa alishawishi serikali iingie mkataba na richmond ambayo haikuwa na usajiri nchini marekani. Hilo ni kosa la kiuongozi ambalo linafanywa na viongozi kibao wa serikalini na wengine wapo bado serikalini na wengine wanatangaza nia lkn hakuna anaewaongolea kila mtu ni lowasa acheni cc ifanye kazi yake kelele za watu wa IQ ndogo km watangaza nia wanaoacha kuuza sera zao na kuanza kushambulia mtu haziwezi kubadili chochote kwenye cc ya ccm