Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Habari za jioni?
Ntumai mpo poa .....
Kama kawaida huwa siji na hoja hapa bila kuifanyia utafiti angalau kidogo na kupata mwanga,niliwahi kusikia na kusoma sana kwenye majarida na magazeti na zaidi nimeshuhudia watu wakiniambi jambo hili kuwa,kama kuna watu waliishi kwenye mahusiano kwa muda mrefu na kupendana na kuishi kwa amani kama mke na mume lakini hakukuwa na ndoa yaani yale makaratasi na ikaja wakaoana hupita muda mfupi na wanaachana
Nimekutana ma mahusiano ya aina hii ma 5 yaani watu walikuwa hawajaoana na waliishi maisha ya furaha kabisa lakini baada tu ya kuoana walitengana
Nilijaribu kuwauliza sababu hakuna aliyenipa sababu ya kushikika lakini kila mtu alikuwa anamtupia lawama mwenzake kuwa ndiuo alisababisha ndoa kufa,ukiwauliza kama ni mwenzake ni kitu gani kiliwafanya wasiachane wakati ule hawajafunga ndoa kunakuwa hakuna jibu
Hadi sasa sijapata jibu lakini kitu ambacho nina uhakika nacho kuna idadi kubwa sana ya mahusiano ambayo yamechukua muda mrefu nayalipokuja kubadilika na kuwa ndoa watu hawa ambao waliishi kwa amani muda mrefu sana wanaachana
Inawezekana kuna mtu ambae anaweza kuwa ana jibu ya hili naomba anijibu .....!!
Ntumai mpo poa .....
Kama kawaida huwa siji na hoja hapa bila kuifanyia utafiti angalau kidogo na kupata mwanga,niliwahi kusikia na kusoma sana kwenye majarida na magazeti na zaidi nimeshuhudia watu wakiniambi jambo hili kuwa,kama kuna watu waliishi kwenye mahusiano kwa muda mrefu na kupendana na kuishi kwa amani kama mke na mume lakini hakukuwa na ndoa yaani yale makaratasi na ikaja wakaoana hupita muda mfupi na wanaachana
Nimekutana ma mahusiano ya aina hii ma 5 yaani watu walikuwa hawajaoana na waliishi maisha ya furaha kabisa lakini baada tu ya kuoana walitengana
Nilijaribu kuwauliza sababu hakuna aliyenipa sababu ya kushikika lakini kila mtu alikuwa anamtupia lawama mwenzake kuwa ndiuo alisababisha ndoa kufa,ukiwauliza kama ni mwenzake ni kitu gani kiliwafanya wasiachane wakati ule hawajafunga ndoa kunakuwa hakuna jibu
Hadi sasa sijapata jibu lakini kitu ambacho nina uhakika nacho kuna idadi kubwa sana ya mahusiano ambayo yamechukua muda mrefu nayalipokuja kubadilika na kuwa ndoa watu hawa ambao waliishi kwa amani muda mrefu sana wanaachana
Inawezekana kuna mtu ambae anaweza kuwa ana jibu ya hili naomba anijibu .....!!