Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Hivi kwanini mtu ukimpa uhuru wa kutosha huwa anazingua either kazini, kwenye mahusiano ama popote ukimpa mtu uhuru kwa asilimia kamwe hawezi kukuacha salama!
Kwa upande wangu nimeamua niwe kauzu hadi siku yangu ya mwisho yaani kazi kazi ukizingua nakuzingua
Kwa upande wangu nimeamua niwe kauzu hadi siku yangu ya mwisho yaani kazi kazi ukizingua nakuzingua