Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,992
- 31,695
Mndali ndanyelakakomu
Jibujibu
hakuna ukweli wowote hapo, hayo majina mbona yapo sanaWatu maarufu /mashuhuri wengi wanakuwaga na majina ya kipekee au hadimu yani unakuta hilo jina analo yeye tu na ukoo wake .
Mfano:
1.Nyerere
2.JW Bush
3.Osama
4.Gadaff
5.Lowassa
6.Kikwete
7.Mkapa
8.Magufuli
9.Makonda
10.Mbowe
11.Trumph
12.Obama
13.Nape Nnauye
14.Tundu Lissu
Huu ni mfano tu lakini naamini wapo wengi sana ambao ni mashuhuri ambao katika majina yao kuna jina hujawahi kulisikia sehemu nyingine.
Hahaaaaaa ww jamaa umeniacha hoi aiseehiki nini hiki!? tuheshimiane heshima haiuzwi bro
A.k.a The Game ChangerJibujibu
No nihiviJibujibu
Mfanohakuna ukweli wowote hapo, hayo majina mbona yapo sana
saluteA.k.a The Game Changer
jina kama Nyerere ni maarufu kule Mara ni ukoo,Mkapa, Kikwete nk...Mfano
Unaharibu brand aliyotumia miaka mingi kuijenga jfNo nihivi
UJIUJI not bujibuji
Hahaaa daah ila ww ndio umeanza nikakurekebishaUnaharibu brand aliyotumia miaka mingi kuijenga jf
Mi nilipiga reverse jina we umelinyofoa nyofoaHahaaa daah ila ww ndio umeanza nikakurekebisha
Hahaaa eti umenyofoa nyofoa daah sorry bwana just utaniMi nilipiga reverse jina we umelinyofoa nyofoa