Kwanini anti-CHADEMA/UKAWA wanasemea Star TV tu?

Kwanini anti-CHADEMA/UKAWA wanasemea Star TV tu?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Ukiachilia mbali makada wa CCM,ambao kimsingi ni wapinzani wa CHADEMA/UKAWA,wanasiasa wote ambao wanazungumza kwa kuiponda CHADEMA/UKAWA hupitia Star TV. Kwasasa,vipindi vya Tuongee Asubuhi na Ajenda Uchaguzi 2015 vipo kwa ajili ya watu hao.

Kwa siku za karibuni,Star TV haijawahi kumkaribisha mwanasiasa au mwananchi mwenye mtazamo wa kuwaunga mkono CHADEMA/UKAWA. Star TV haiwachanganyi wenye mawazo tofauti ya kisiasa kama walivyo ITV,Azam TV na wengineo. Kwanini? Ina tofauti gani na TBC1?
 
Nimesikia Startv owner ana personal beef na Lowassa....

Vyombo vingi hasa TV ni mashabikı wa Lowasa kwa sbbu wanazozijua.Kumebaki magazeti huru mawili tu nayo ni RAIA MWEMA na RAIA TANZANIA.TV karibu zote zımejaa ushabıki hata hyo STAR TV.Stations km EATV,CLOUDS,CAPITAL muundo wake sıo wa namna ılıvyo Star.
 
ukitaka umalize siku yako kwa amani usijaribu kuangalia tbc na star tv
 
Ukiachilia mbali makada wa CCM,ambao kimsingi ni wapinzani wa CHADEMA/UKAWA,wanasiasa wote ambao wanazungumza kwa kuiponda CHADEMA/UKAWA hupitia Star TV. Kwasasa,vipindi vya Tuongee Asubuhi na Ajenda Uchaguzi 2015 vipo kwa ajili ya watu hao.

Kwa siku za karibuni,Star TV haijawahi kumkaribisha mwanasiasa au mwananchi mwenye mtazamo wa kuwaunga mkono CHADEMA/UKAWA. Star TV haiwachanyi wenye mawazo tofauti ya kisiasa kama walivyo ITV,Azam TV na wengineo. Kwanini? Ina tofauti gani na TBC1?

Ukitaka jibu hili uliza kwanini anti ccm wote wanaongelea ITV?
 
Ukiangalia vipindi vingi sana vya tv ya mengi cdm live utaona huandaa vijana wa cdm kuionda serkali
 
Nadhan hapa hamna hoja ya msingi,mbona ukawa nao wana vyombo vyao,no body ask,ukawa acheni kuogopa vivuli vya wenzenu hahahah
 
Inashangaza kuona bado kuna watu wana support CCM
 
Ukitaka jibu hili uliza kwanini anti ccm wote wanaongelea ITV?

mtoa mada kajitoa ufahamu kavaa ushabiki....hakuwaza hili nadhani...arejee kingunge jumapili aliongea kupitia tv gani then atapata jibu akalale..

siamini watu kama hawa niliokuwa nawaheshimu hapa jf wamekubali kuicheza ngoma waliyotuaminisha miaka nenda rudi kuwa haifai...sijui nani kawaroga
 
Inashangaza kuona bado kuna watu wana support CCM

Inashangaa kuona mtu mwenye akili anataka kuongozwa na mgojwa au muathirika wa akili na kiwiliwili ..hilarious
 
Nadhan hapa hamna hoja ya msingi,mbona ukawa nao wana vyombo vyao,no body ask,ukawa acheni kuogopa vivuli vya wenzenu hahahah

Kwa kauli hii inaonesha kuwa umekubali kuwa Star TV ni chombo cha CCM?
 
Ukiachilia mbali makada wa CCM,ambao kimsingi ni wapinzani wa CHADEMA/UKAWA,wanasiasa wote ambao wanazungumza kwa kuiponda CHADEMA/UKAWA hupitia Star TV. Kwasasa,vipindi vya Tuongee Asubuhi na Ajenda Uchaguzi 2015 vipo kwa ajili ya watu hao.

Kwa siku za karibuni,Star TV haijawahi kumkaribisha mwanasiasa au mwananchi mwenye mtazamo wa kuwaunga mkono CHADEMA/UKAWA. Star TV haiwachanyi wenye mawazo tofauti ya kisiasa kama walivyo ITV,Azam TV na wengineo. Kwanini? Ina tofauti gani na TBC1?

NI TV Station ya KADA wa CCM mwenye CHUKI kamili kwa LOWASSA.Utegemee chochote kile
 
Back
Top Bottom