Daah lkn Mkuu km 8-9 per litre ni reasonable kabisa. Hio iki shinda mtu ahamie kwenye vitz /starlet tu MkuuMkuu, Altezza na pacha wake IS200, IS300, RS200 na AS300 ni gari nzuri sana. Imekaa sports sana, na ililetwa miaka ile ya 1998 kushindana na BMW 3, especially E36 na E46.
Sasa watu walivyonunua hapa mjini, wengi inawasumbua Mafuta kutokana na foreni na barabara za hapa mjini.
Engine ya Altezza zipo 2.0 L 1G-FE I6 (AS200/IS 200), 2.0 L 3S-GE I4 (RS200), na 3.0 L 2JZ-GE I6 (AS300/IS 300)
Kwahiyo 2.0L kwa hapa mjini, sisi wa kipato cha kawaida ni shughuli. Maana utakuta hadi inaenda 8KM au 9KM kwa Lita kukiwa na heavy trafiki.
Ndio maana nyingi zinauzwa kwa bei za kawaida 8-10M.
Ukitaka kununua, kama mafuta sio tatizo ni gari nzuri sana.
Kuna wengine wanakubali exchange hadi na gari zenye engine ndogo kama IST, Vitz, Corolla etc kwa Top Up kidogo au Key to Key only.Daah lkn Mkuu km 8-9 per litre ni reasonable kabisa. Hio iki shinda mtu ahamie kwenye vitz /starlet tu Mkuu
Daah ni kweli kabisa Mkuu, lkn wakishindwa running cost za altezza basi gari nyingine za class hio zitawashinda tu aisee.Kuna wengine wanakubali exchange hadi na gari zenye engine ndogo kama IST, Vitz, Corolla etc kwa Top Up kidogo au Key to Key only.
Sikatai mkuu. Kwenye paperwork ni ya kawaida. Sasa katika daily usage ni tatizo kidogo. Kama unakaa Mbezi unafanya kazi Posta, kila siku 10,000 (5.5L) unatumia.1 litre for 8-9 km ndo ishu? Mbona hio ni consumption ya kawaida tu wala si ya kucomplain!
Mkuu unaongelea ipi? e46 au kubwa yale e90?BMW 3 SERIES 1890CC INANUSA MAFUTA HII GARI NZURI SANA SIJAPATA KUONA
mkuu inakulaje mafuta? kwani naipenda sanaBMW 3 SERIES 1890CC INANUSA MAFUTA HII GARI NZURI SANA SIJAPATA KUONA
mjini 10km/Lmkuu inakulaje mafuta? kwani naipenda sana
Kwanini ung'ang'anie altezza wakati inakutesa...wakati vitz inakupa raha!?
Nafikiria wakati wa kuishi real life umefika,fake life ni very costful...
Mwenye ile picha ya Rais wa Russia Vladimir Putin akifuel gari yake please anaweza kushare hapa....wenzetu wapo kwy level ya juu sana ktk kuishi maisha yao
Sikatai mkuu. Kwenye paperwork ni ya kawaida. Sasa katika daily usage ni tatizo kidogo. Kama unakaa Mbezi unafanya kazi Posta, kila siku 10,000 (5.5L) unatumia.
Hapo tumetoa mizunguko mingine yoyote, kwahiyo ukiongeza mizunguko tu hapo unatumia hadi 15,000 per day.
Kwa week ya siku 5 ni 75,000 na mwezi ni Tsh 300,000.'
Hapo tumetoa kabisa weekend, trip mbali na kazini.
Ukiwa kwenye mtandao utaona Altezza inakunywa 1L kwa KM10 ila in reality mh inazidi.
Umeeleza vizuri sanaSikatai mkuu. Kwenye paperwork ni ya kawaida. Sasa katika daily usage ni tatizo kidogo. Kama unakaa Mbezi unafanya kazi Posta, kila siku 10,000 (5.5L) unatumia.
Hapo tumetoa mizunguko mingine yoyote, kwahiyo ukiongeza mizunguko tu hapo unatumia hadi 15,000 per day.
Kwa week ya siku 5 ni 75,000 na mwezi ni Tsh 300,000.'
Hapo tumetoa kabisa weekend, trip mbali na kazini.
Ukiwa kwenye mtandao utaona Altezza inakunywa 1L kwa KM10 ila in reality mh inazidi.
Nipo na ww mkuu nishatembezaga hyo mnnyama tezza miez 6 tu likauzwa coz per day wese la elfu 10 lazma hapo ni tabata kwenda posta sijui ka zinazid kilomita nane...Sikatai mkuu. Kwenye paperwork ni ya kawaida. Sasa katika daily usage ni tatizo kidogo. Kama unakaa Mbezi unafanya kazi Posta, kila siku 10,000 (5.5L) unatumia.
Hapo tumetoa mizunguko mingine yoyote, kwahiyo ukiongeza mizunguko tu hapo unatumia hadi 15,000 per day.
Kwa week ya siku 5 ni 75,000 na mwezi ni Tsh 300,000.'
Hapo tumetoa kabisa weekend, trip mbali na kazini.
Ukiwa kwenye mtandao utaona Altezza inakunywa 1L kwa KM10 ila in reality mh inazidi.
Jini hilona vipi kuhusu durability, spares na ulaji wa mafuta kwa toyota surf old model navutiwa na hili gari la juu wadau japo wengine naona wanayauza kwa bei ndogo. msaada jamani