Kwanini akuache

uncle J4

Member
Joined
Jan 2, 2018
Posts
25
Reaction score
28
Usishangae kwanini amekuacha na kwenda ila jiulize ujasiri kaupata wapi?
Ukishalijua hilo jichunguze kuona ulikosea wapi ama yeye alikosea wapi na ukishaligundua hilo basi usisononeke bali jipongeze kwani huenda ungebaki nae ungeumia..

Kwani ni kheri aombae msamaha mara kwa mara kwa kosa jipya kuliko aombae msamaha kila kukicha kwa kosa moja.

Ni sawa tumeumbwa kusamehe lakini maumivu ya moyo hayasahauliki hivyo ni vizuri kujifunza kutokana na makosa pasi na chuki ya kulipa kosa kwa kosa.

Kwani kushindwa si kupoteza bali ni hatua ya kuvifahamu vitu vipya na vizuri.

Jifunze:
Unaweza ukatumia MKONGO,
Kurejesha heshima iliyopotea kitandani..

Lakini ukashindwa kuutumia UBONGO,
Kila kukicha ukitafuta mchawi nani.

"KIFO huwa tayari kwa maradhi yasiyo na tiba"

@Uncle_J4
 
Sasa Jumanne ndio umeandika nini sasa? Empty set
 
Huyu jamaa zimpati kabisa sijui ndo hizo Kik au ufaham wangu tu
 
Sometimes si ww unakuwa na makosa. Ni akili zao. Unajua mtu kama anakuacha sababu ww umezingua,una feel guilty kwa yaliyotokea. Lakin unaumia zaid pale unapogundua kuwa hakuna ulipokosea zaid ya kujitahid kumpenda lakin anaamua kukuacha out of no where
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…