Kwanini Abeid Karume si Baba wa Taifa?

Kwanini Abeid Karume si Baba wa Taifa?

sikupingi ingekuwa muvi inaitwa Tanganyika NYERERE ni main character ,vivyo hivyo ingeitwa Zanzibar KARUME angekuwa ni main character , so linapo kuja suala la pamoja kwanini heshima ziwe tofauti??
Pia kuna muvi zina staring wawili (ref DOUBLE IMPACT) Ya jean claud van dame
sikupingi ingekuwa muvi inaitwa Tanganyika NYERERE ni main character ,vivyo hivyo ingeitwa Zanzibar KARUME angekuwa ni main character , so linapo kuja suala la pamoja kwanini heshima ziwe tofauti??
Pia kuna muvi zina staring wawili (ref DOUBLE IMPACT) Ya jean claud van dame

Si umeona hata wewe umemtaja Van dame, lakini si yule pacha wake, hapo van dame ndiye main haiwezekani watu wakawa bora wote na wakalingana kila kitu.
 
Ubaba wa taifa unakuja kutokana na makubwa aliyofanya na mafunzo tunayoendelea kuyapata kupitia hotuba zake makini,huyo mwingine hana sifa kama za hayati JKN full stop baba huwa ni mmoja huyo labda awe wakambo sio kilakitu mdai usawa cheee
 
naweza nisikubaliane na wewe mkuu wangu hasa hapa kwenye umri ,maana dunia imeshuhudia wanasayansi nguli kweli kweli na wenye heshima zao Kama ISAACK NEWTON richa ya kuishi miaka michache ,nadhani kuhusu suala la kukumbukwa ni LEGACY aliyo iacha MTU
.
Na sikati kuwa NYERERE kwa kwetu bara anayo legacy kubwa lakini vipi kwa huko visiwani ? Ni kweli kwamba alimzidi KARUME katika mipaka take?
Newton alikufa na miaka 85
 
Jibu sahihi LA swali lako ni kwamba MITANGANYIKA NI MIBAGUZI hilo twalifahamu lakini muhimu zaidi sisi hatuna habari na huu Ukoloni wao
KARUME WETU ANAISHI KTK NYOYO ZETU FULL STOP
 
Heshima kwenu Sana JF
.
Leo katika kumbukizi ya kifo cha MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE , kuna mambo mengi Sana natamani ni yajue
Mosi ; ikiwa tuna fahamu ya kuwa Tanzania ni nchi ambayo imetokana na muunganiko Wa mataifa haya mawili yaani Tanganyika na Zanzibar
.
Pia tunajua fika kuwa kabla ya muunganiko huu mataifa haya yalikuwa na waasisi wake ambao ni MZEE KARUME & MZEE JULIUS
.
Hapo awali nilifikiri hii sentensi ya "BABA WA TAIFA " Ipo katika nafsi ya uwingi kwa maana ya kuwa tuna baba zetu Wa TAIFA wawili
.
Lakini ajabu ni kuwa Tanzania tuna mtambua mzee nyerere pekee Kama baba Wa TAIFA hili kwanini?

Natamani wajuzi Wa mambo mnifahamishe kuhusu hili
ABEID AMANI KARUME BABA WA TAIFA LA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
Related image
 
Kwahiyo Karume ni mama wa Taifa? Mpeni hata ubaba wa kambo basi..

Karume alipata nchi kwa MAPINDUZI , Nyerere alipata Tanganyika kwa POROJO..

Nani katika hao ana hadhi ya kuwa BABA?
ABEID AMANI KARUME BABA WA TAIFA LA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
TUTAMKUMBUKA DAIMA SHUJAA WETU WA NCHI YA ZANZINBAR
Related image
 
Jibu ni rahisi mkuu,,nyerere ndio raisi wa kwanza was Tanzania, pili ndio raisi aliesave muda mrefu pia kaacha mafanikio mengi Tanzania I mean Zanzibar na Tanganyika

Karume alikuwa raisi wa Zanzibar so hajaqulify kuwa baba wa Taifa labda aitwe baba wa Zanzibar
ABEID AMANI KARUME BABA WA TAIFA LA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
TUTAMKUMBUKA DAIMA SHUJAA WETU WA NCHI YA ZANZINBAR
Related image
Related image
 
maana dunia imeshuhudia wanasayansi nguli kweli kweli na wenye heshima zao Kama ISAACK NEWTON richa ya kuishi miaka michache ,nadhani kuhusu suala la kukumbukwa ni LEGACY aliyo iacha MTU
Isaac Newton aliishi miaka mingi kuliko Nyerere.
 
Back
Top Bottom