Kwanini Abeid Karume si Baba wa Taifa?

Kwanini Abeid Karume si Baba wa Taifa?

Rais wa kwanza wa nchi ndio huyo huyo Baba wa Taifa la nchi, hiyo ipo karibia nchi zote duniani. Hivyo Nyerere kama Raisi wa kwanza wa Tanzania ni sahihi pia kumtambua kama baba wa Taifa la Tanzania. Karume hajawahi kuwa raisi wa Tanzania hivyo hastahili kutambulika kama baba wa Taifa la Tanzania bali tutamtambua kama baba wa Zanzibar
 
Marekani ina founding fathers kama sita ivi Wakina Washington, Alexander hamiliton, Ben Franklin
Tanzania ni Kama njia panda ,na hawa viongozi wamekutano hapo ila kila mtu alikuwa na ukubwa wake huko alikotoka yaani Tanganyika na Zanzibar sasa sisi tunataka kujua
.
Safari inayo anzia hapo njia panda , kwanini mmoja awe mkubwa kuliko mwenzie ikiwa kila mtu amepitia magumu yake kutokana na nature ya eneo lake?
 
Nyerere ni Icon, karume anaweza kuwa baba mdogo wa taifa. Achievements za nyerere haziwezi kulinganishwa na za karume kisiasa.

Movie inaweza kuwa na actors wengi lakini main akawa mmoja.
Karume ni muhusika Bapa
 
Heshima kwenu Sana JF
.
Leo katika kumbukizi ya kifo cha MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE , kuna mambo mengi Sana natamani ni yajue
Mosi ; ikiwa tuna fahamu ya kuwa Tanzania ni nchi ambayo imetokana na muunganiko Wa mataifa haya mawili yaani Tanganyika na Zanzibar
.
Pia tunajua fika kuwa kabla ya muunganiko huu mataifa haya yalikuwa na waasisi wake ambao ni MZEE KARUME & MZEE JULIUS
.
Hapo awali nilifikiri hii sentensi ya "BABA WA TAIFA " Ipo katika nafsi ya uwingi kwa maana ya kuwa tuna baba zetu Wa TAIFA wawili
.
Lakini ajabu ni kuwa Tanzania tuna mtambua mzee nyerere pekee Kama baba Wa TAIFA hili kwanini?

Natamani wajuzi Wa mambo mnifahamishe kuhusu hili
Tuna Taifa moja hatuwezi kuwa na Baba wa Taifa wawili. Tukianza hivyo tutakuwa na Baba wa Taifa kwa kila Kitongoji hivyo hatutakuwa na Baba wa Taifa bali baba wa vitongoji. Zanzibar si Taifa
 
Tuna Taifa moja hatuwezi kuwa na Baba wa Taifa wawili. Tukianza hivyo tutakuwa na Baba wa Taifa kwa kila Kitongoji hivyo hatutakuwa na Baba wa Taifa bali baba wa vitongoji. Zanzibar si Taifa
suala hapa ni JJ kwanini NYERERE ndiyo baba na ni KARUME ,wala sijahitaji wawe wawili
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Karume sr na Nyerere.
Nyerere ana percantage ndogo ya waliompinga na kumchukia majority wanakubliana nae mengi kimsing au walukuja kumkubali baadae tukija kwa karume kuna majority wanalichukia hata kaburi lake hata sasa na anakubalika kiitikadi na kikanda maeneo mengine na itikadi zingine hazimkubali asilan.
Kwa point hizo chache i can comfortably argue kuwa Karume hawezi kuwa baba wa taifa hata znz zaid ya muasisi
 
JK NYerere baba wa taifa
BIBI Titi mama wa taifa
Kambona mjomba wa taifa
Karume binamu wa taifa
Kawawa kakae wa taifa
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Karume sr na Nyerere.
Nyerere ana percantage ndogo ya waliompinga na kumchukia majority wanakubliana nae mengi kimsing au walukuja kumkubali baadae tukija kwa karume kuna majority wanalichukia hata kaburi lake hata sasa na anakubalika kiitikadi na kikanda maeneo mengine na itikadi zingine hazimkubali asilan.
Kwa point hizo chache i can comfortably argue kuwa Karume hawezi kuwa baba wa taifa hata znz zaid ya muasisi
ooh ! Kiukweli nilikuwa sijui hili, kwamba KARUME anachukiwa Sana ..vipi kwa dondoo umebahatika kujua ni kwanini anachukiwa
 
kwa kweli mkuu tunasahau kuwa hii nchi ni muungano ingekuwa baba Wa TAIFA la Tanganyika it's okey, lakini why kwa Tanzania
Baada ya muungano Karume alikuwa makamu wa rais wa Tanzania na nyerere alikuwa rais wa Tanzania. Hivyo Baba wa taifa la Tanzania ni aliyekuwa rais wa Tanzania na siyo makamu wake.
ahaha kwa style hii tutapata mpaka wajomba Wa taifa
Chadema wana shangazi wa Taifa tayari.
 
Kuna watu walikuwa wanasema alikuwa hajui kusoma
 
Haya ndio matatizo ya kufikiri sana, mmetuletea DNA inaanza kuharibu ndoa za watu....Acheni kufikiri kila kitu.
 
Haya ndio matatizo ya kufikiri sana, mmetuletea DNA inaanza kuharibu ndoa za watu....Acheni kufikiri kila kitu.
Hahaha ..dah watu wasingekuwa wanafikiri leo hii kungekuwa hakuna jamii forum
 
Kwani umewaza nini mpaka ukauliza swali hilo??
 
Back
Top Bottom