Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Yaani unakaa na mtoto wa wamtu miaka 5 ya uchumba, ushamfunua-funua mtoto wa watu kama Sufuria la Pilau msibani, unamjua mwili wake kama unavyojua mabeti ya wimbo wa Taifa
Mtoto wa watu amekunja nne ametulia anajuandoa inafuata soon halafu wewevghafla tu unakuja kumzingua nakutangaza ndoa na mtu mwingine.
Akikuuliza sababu ya kumuachayeye mataa unasema siwezi kuoa mwanamke hajui kukatika kitandani nataka kuoa fundi wa kumilikikitanda,
Ulimfundisha? Kwaniunaoa mtu wa kujenga Familia auunaoa mke wa kwenda kufunguabendi ya kukata viuno?
Maanakama nia yako ni kupata mkeanayekatika basi ungeenda kuoaWanenguaji kwenye bendi yaAkudo Impact.
Mnaumiza watoto wa watukibwegebwegeee...na sababu zakikuku-kuku, Kwani utakula kiunoall ur life?
Au utajenga familia.
Mtoto wa watu amekunja nne ametulia anajuandoa inafuata soon halafu wewevghafla tu unakuja kumzingua nakutangaza ndoa na mtu mwingine.
Akikuuliza sababu ya kumuachayeye mataa unasema siwezi kuoa mwanamke hajui kukatika kitandani nataka kuoa fundi wa kumilikikitanda,
Ulimfundisha? Kwaniunaoa mtu wa kujenga Familia auunaoa mke wa kwenda kufunguabendi ya kukata viuno?
Maanakama nia yako ni kupata mkeanayekatika basi ungeenda kuoaWanenguaji kwenye bendi yaAkudo Impact.
Mnaumiza watoto wa watukibwegebwegeee...na sababu zakikuku-kuku, Kwani utakula kiunoall ur life?
Au utajenga familia.