kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Vijana wenzangu, wazee na watoto ambao mmewahi kuota ndevu za KWAPANI, CHINI, NDEVU & KICHWANI napenda kuwasilisha jambo hili kwenu kama mko na Experience ya ari hii ambayo mimi inanikumba kwa zaidi wa 3weeks sasa.
Nimenununua 1pc ya Nyembe 6 za company ya RUNGU, ila tangu nimeanza kujinyoa maeneo mbalimbali ile siku hadi leo ni 3weeks bado nawashwa maeneo yote tena kwa kujikuna balaa na hata kuwa na vipele vinavyopelekea vidonda. Sasa naomba kuwauliza pia nanyi wenzangu Je?
Mko na experince ya ari hii manvyotumia RUNGU wembe or ni mimi tu na Ngozi yangu?
Cc Mshana Jr
Nimenununua 1pc ya Nyembe 6 za company ya RUNGU, ila tangu nimeanza kujinyoa maeneo mbalimbali ile siku hadi leo ni 3weeks bado nawashwa maeneo yote tena kwa kujikuna balaa na hata kuwa na vipele vinavyopelekea vidonda. Sasa naomba kuwauliza pia nanyi wenzangu Je?
Mko na experince ya ari hii manvyotumia RUNGU wembe or ni mimi tu na Ngozi yangu?
Cc Mshana Jr