Tiba ya ngozi na kifua(asthma)

MAHENDEKA

JF-Expert Member
Jul 9, 2010
337
179
Habari za mwaka mpya wanajamii wenzangu ,natumai mu wazima mwaka huu tumevuka salama

Ni mara ya kwanza najitokeza jukwaa hili kuomba ushauri au msaada wa matatizo yanayonisibu mwenzenu

Umri wangu ni takribani miaka 29,nilizaliwa tarehe 22 septemba 1986, toka nizaliwe nimekua nakabiliwa na matatizo mawili sugu ambayo ni kama yanakwenda sambamba hivi

Tatizo la kwanza ni ugonjwa wa ngozi na tatizo la pili ni ugonjwa wa kifua asthma,matatizo haya kwa mujibu wa wazazi wangu yalianza nilipokua na wiki 2 tu tangu nizaliwe.

Mama ananiambia wiki chache tu baada ya kunizaa nilianza kutokwa na vipele vidogo-vidogo vingi mwili mzima nikawa najikuna sana kiasi kwamba siwezi hata kulala,nikawa najikuna na ngozi yangu kubadilika na kua kama tofali la simenti na mara ghafla nikaanza kubanwa na kifua asthma

Kwa matatizo haya mawili wazazi wangu wamejaribu kila namna wanayoweza bila mafanikio yeyote,au kwa.kifupi naweza sema matatizo yangu yamewafilisi.,wamepoteza fedha nyingi sana mpaka uzee wao huu hawajafanikiwa kupata tiba ya tatizo langu japo mmoja kashatangulia mbele ya haki R.I.P,hospitali zote za rufaa hapa nchini nimeshapelekwa bila.mafanikio

Kwa kifua nimeshachomwa sindano nadhani nmemaliza zote, cristapen,sijui hydrocotizone zile.sindano zinazovuta dawa zenyewe kulingana na mapigo ya moyo zote nmechoma,dawa za kumeza nmekunywa sana aminophiline,ephedrine,predinisalone na franol zipo nyingi nyingine nimezisahau majina,nmeshatumia dawa za kupuliza kinywani pindi napohisi kifua kama kinataka kubana(obvious ni wakati wa mawingu mawingu kama mvua inataka kunyesha kuna feelings fulani nazipata na kujua kabisa kifua changu hakiko vizuri)..Lakini pamoja na hayo naumwa kifua ambacho kina maajabu kidogo nikibanwa kifua nikikaa kwenye baridi au upepo ndo napata nafuu,sijawahi sikia hii lakini kwangu ndivyo ilivyo!!

Pili naumwa kifua lakini naweza kimbia riadha hata kilometa saba kwenda na kurudi na.nikawa vizuri tu,lakini siku kikiamua kubana kimeamuana,na kinabana.hasa mtu akibahatika kuniona anajua nakufa,kifua kikinibana siwezi kukaaa wima inanibidi nijikunje kidogo ili niweze kupumua na.sivyo hewa inakua kama.inakata,na kikipona nakua naumwa sana mgongo na mbavu( sababu ya kupumua kwa shida )

Watu wanasema na aleji lakini nmejaribu kutafuta na aleji na kitu gani miaka takribani 10 ya kujielewa kwangu laini sijafanikiwa kujua na aleji na.kitu gani ?

Ugonjwa wa pili ni ngozi,hii inanisumbua sana najikuna kila mara,mpaka mbele za watu,na nikikuna mahala panapowasha kunatokea vipele baadae vipele vinatengeneza kibalango ambacho kinatoa majimaji na kuwasha zaidi na kusambaa kwa kadri navyozidi kujikuna ndivyo ugonjwa unavyozidi kusambaaa kwa kasi nikizidi jikuna ndivyo panavyozidi kua sugu na kutengeneza kama alama nyeusi yenye mapele makubwa zaidi yenye majimaji yaani hali ni mbaya

Nmeshaenda hospitali maana huu ni ugonjwa wangu wa muda mrefu sana,zamani ulikua mwili mzima,lakini ukapungua wenyewe na.kubaki sehemu sehemu za maungio ya mwili lakini sasa unarudi tena,nawashwa mpaka usoni nikijikuna mabalango yananitokea,najaribu kufikiria ntakua mtu wa aina gani sasa?

Nmeenda hospitali nmepewa dawa za aina mbalimbali kuna mafuta ya kupaka lakini hola,nmepewa dawa za tube za kupaka kama safi cream lakini wapi

Mwisho.wa siku nmejaribu kutumia dawa inaitwa gentriderm cream,hii dawa kwa mujibu wa maelezo ya dakitari ni jamii moja na hio hapo juu safi cream ila imenipa unafuu ila hio safi cream.imeshindwa !!!...,lakini changamoto yake ni kwamba nikiacha kupaka tu,ugojwa wa ngozi unarudi vile vile tena kwa kasi,nmelazimika kuandika.uzi huu nione kama.naweza.pata njia.mbadala maana nawasiwasi nikiendelea na dawa.hizi huko mbeleni naweza kuja pata hata kansa ya ngozi,

Changamoto nyingine nayokutana nayo ni hizi gentriderm ni krimu kama jina lake lilivyo napopaka usoni nakua mweupe,sasa mimi ni.mtoto.wa kiume japokua naumwa ndio lakini naona kama reputation yangu inaharibika,watu wanaponiambia kua siku hizi unakua mweupe!!,najiskia vibaya sana lakini sina jinsi ndo maana.nmeona.nijitokeze hapa mbele yenu wadau kama kuna mtu anaweza nipa ushauri nifanyeje

Jambo lingine ni kuwa mimi siwezi kabisa kula karanga hasa mbichi,na kama nikila nawashwa sana koo,na.kuvimba mwili na kutema.mate yanayovutika kama mlenda

*Lakini kama.karanga zitapikwa nakula vizuri tu bila shida yeyote!! Sasa wataalamu mnisaidie sijui hii ni.aleji gani ?

Kwa wataalamu wajuzi wa afya na tiba naomba mnisaidie mwenzenu
 
Habari za mwaka mpya wanajamii wenzangu ,natumai mu wazima mwaka huu tumevuka salama

Ni mara ya kwanza najitokeza jukwaa hili kuomba ushauri au msaada wa matatizo yanayonisibu mwenzenu

Umri wangu ni takribani miaka 29,nilizaliwa tarehe 22 septemba 1986, toka nizaliwe nimekua nakabiliwa na matatizo mawili sugu ambayo ni kama yanakwenda sambamba hivi

Tatizo la kwanza ni ugonjwa wa ngozi na tatizo la pili ni ugonjwa wa kifua asthma,matatizo haya kwa mujibu wa wazazi wangu yalianza nilipokua na wiki 2 tu tangu nizaliwe.

Mama ananiambia wiki chache tu baada ya kunizaa nilianza kutokwa na vipele vidogo-vidogo vingi mwili mzima nikawa najikuna sana kiasi kwamba siwezi hata kulala,nikawa najikuna na ngozi yangu kubadilika na kua kama tofali la simenti na mara ghafla nikaanza kubanwa na kifua asthma

Kwa matatizo haya mawili wazazi wangu wamejaribu kila namna wanayoweza bila mafanikio yeyote,au kwa.kifupi naweza sema matatizo yangu yamewafilisi.,wamepoteza fedha nyingi sana mpaka uzee wao huu hawajafanikiwa kupata tiba ya tatizo langu japo mmoja kashatangulia mbele ya haki R.I.P,hospitali zote za rufaa hapa nchini nimeshapelekwa bila.mafanikio

Kwa kifua nimeshachomwa sindano nadhani nmemaliza zote, cristapen,sijui hydrocotizone zile.sindano zinazovuta dawa zenyewe kulingana na mapigo ya moyo zote nmechoma,dawa za kumeza nmekunywa sana aminophiline,ephedrine,predinisalone na franol zipo nyingi nyingine nimezisahau majina,nmeshatumia dawa za kupuliza kinywani pindi napohisi kifua kama kinataka kubana(obvious ni wakati wa mawingu mawingu kama mvua inataka kunyesha kuna feelings fulani nazipata na kujua kabisa kifua changu hakiko vizuri)..Lakini pamoja na hayo naumwa kifua ambacho kina maajabu kidogo nikibanwa kifua nikikaa kwenye baridi au upepo ndo napata nafuu,sijawahi sikia hii lakini kwangu ndivyo ilivyo!!

Pili naumwa kifua lakini naweza kimbia riadha hata kilometa saba kwenda na kurudi na.nikawa vizuri tu,lakini siku kikiamua kubana kimeamuana,na kinabana.hasa mtu akibahatika kuniona anajua nakufa,kifua kikinibana siwezi kukaaa wima inanibidi nijikunje kidogo ili niweze kupumua na.sivyo hewa inakua kama.inakata,na kikipona nakua naumwa sana mgongo na mbavu( sababu ya kupumua kwa shida )

Watu wanasema na aleji lakini nmejaribu kutafuta na aleji na kitu gani miaka takribani 10 ya kujielewa kwangu laini sijafanikiwa kujua na aleji na.kitu gani ?

Ugonjwa wa pili ni ngozi,hii inanisumbua sana najikuna kila mara,mpaka mbele za watu,na nikikuna mahala panapowasha kunatokea vipele baadae vipele vinatengeneza kibalango ambacho kinatoa majimaji na kuwasha zaidi na kusambaa kwa kadri navyozidi kujikuna ndivyo ugonjwa unavyozidi kusambaaa kwa kasi nikizidi jikuna ndivyo panavyozidi kua sugu na kutengeneza kama alama nyeusi yenye mapele makubwa zaidi yenye majimaji yaani hali ni mbaya

Nmeshaenda hospitali maana huu ni ugonjwa wangu wa muda mrefu sana,zamani ulikua mwili mzima,lakini ukapungua wenyewe na.kubaki sehemu sehemu za maungio ya mwili lakini sasa unarudi tena,nawashwa mpaka usoni nikijikuna mabalango yananitokea,najaribu kufikiria ntakua mtu wa aina gani sasa?

Nmeenda hospitali nmepewa dawa za aina mbalimbali kuna mafuta ya kupaka lakini hola,nmepewa dawa za tube za kupaka kama safi cream lakini wapi

Mwisho.wa siku nmejaribu kutumia dawa inaitwa gentriderm cream,hii dawa kwa mujibu wa maelezo ya dakitari ni jamii moja na hio hapo juu safi cream ila imenipa unafuu ila hio safi cream.imeshindwa !!!...,lakini changamoto yake ni kwamba nikiacha kupaka tu,ugojwa wa ngozi unarudi vile vile tena kwa kasi,nmelazimika kuandika.uzi huu nione kama.naweza.pata njia.mbadala maana nawasiwasi nikiendelea na dawa.hizi huko mbeleni naweza kuja pata hata kansa ya ngozi,

Changamoto nyingine nayokutana nayo ni hizi gentriderm ni krimu kama jina lake lilivyo napopaka usoni nakua mweupe,sasa mimi ni.mtoto.wa kiume japokua naumwa ndio lakini naona kama reputation yangu inaharibika,watu wanaponiambia kua siku hizi unakua mweupe!!,najiskia vibaya sana lakini sina jinsi ndo maana.nmeona.nijitokeze hapa mbele yenu wadau kama kuna mtu anaweza nipa ushauri nifanyeje

Jambo lingine ni kuwa mimi siwezi kabisa kula karanga hasa mbichi,na kama nikila nawashwa sana koo,na.kuvimba mwili na kutema.mate yanayovutika kama mlenda

*Lakini kama.karanga zitapikwa nakula vizuri tu bila shida yeyote!! Sasa wataalamu mnisaidie sijui hii ni.aleji gani ?

Kwa wataalamu wajuzi wa afya na tiba naomba mnisaidie mwenzenu
Pole sana Ndugu MAHENDEKA ukikosa watu humu ndani wa kuweza kukusaidia utanitafuta mimi nitaweza kukutibu maradhi yako yote mawili maradhi ya Pumu na maradhi yako ya ngozi kwa gharama lakini. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Pole sana mahenfeka, nmesoma matatzo yako kweli inaumia. Lkn Mungu n mwema siku isiyo na jina utapona. Naweza kukushaur ukishndwa hospital anza kutumia miti shamba pia husaidia sana
 
Pole Sana. Mdogo wangu alikuwa na asthma kali sana utotoni ila niamini, alipona kwenye maombi ya ukombozi. Kuhusu Ngozi Inawezekana una pumu ya Ngozi (eczema)? Hebu google Dalili zake ujitathmini. Jaribu kupaka mafuta ya nazi kwa wingi ama olive oil, usichanganye na Chochote Halafu uone itakuwaje. Vitu vyenye harufu kali kama sabuni ama perfume vinaweza kuwa vinazidisha Shida.

Kuwa mwangalifu na matumizi YA Hizo cream zinaweza kuwa na madhara makubwa sana Baada ya matumizi YA muda mrefu. Muhimbili wana kitengo cha alternative medicine, Jaribu kuwatembelea Unaweza kujifunza kitu.

Kila la heri, Mungu akusaidie
 
dah,pole sana mkuu sijui nikushuri nini ila naamini Mungu wangu aliyejuu atakusaidia upone
 
Kuna vyakula vinakudhuru, cheki samaki, karanga, maziwa, hata nyama...jaribu kufululiza ugali ama wali na maharage na mboga mboga kwa mwezi mzima...pia nunua daktarin na mafuta ya nazi, uwe unayachanganya na kujipaka
 
kwanza pole sana ndugu yangu kwa maswaibu yaliyokukuta nipo kwenye usafiri nikifika nyumbani nitatoa somo ambalo linawaumiza wengi hasa wazazi kwakujua au kwa kutokujua hasa kukutana kimwili wakati mmoja wao yupo kwenye dozi ya dawa za hospitalini
 
Habari za mwaka mpya wanajamii wenzangu ,natumai mu wazima mwaka huu tumevuka salama

Ni mara ya kwanza najitokeza jukwaa hili kuomba ushauri au msaada wa matatizo yanayonisibu mwenzenu

Umri wangu ni takribani miaka 29,nilizaliwa tarehe 22 septemba 1986, toka nizaliwe nimekua nakabiliwa na matatizo mawili sugu ambayo ni kama yanakwenda sambamba hivi

Tatizo la kwanza ni ugonjwa wa ngozi na tatizo la pili ni ugonjwa wa kifua asthma,matatizo haya kwa mujibu wa wazazi wangu yalianza nilipokua na wiki 2 tu tangu nizaliwe.

Mama ananiambia wiki chache tu baada ya kunizaa nilianza kutokwa na vipele vidogo-vidogo vingi mwili mzima nikawa najikuna sana kiasi kwamba siwezi hata kulala,nikawa najikuna na ngozi yangu kubadilika na kua kama tofali la simenti na mara ghafla nikaanza kubanwa na kifua asthma

Kwa matatizo haya mawili wazazi wangu wamejaribu kila namna wanayoweza bila mafanikio yeyote,au kwa.kifupi naweza sema matatizo yangu yamewafilisi.,wamepoteza fedha nyingi sana mpaka uzee wao huu hawajafanikiwa kupata tiba ya tatizo langu japo mmoja kashatangulia mbele ya haki R.I.P,hospitali zote za rufaa hapa nchini nimeshapelekwa bila.mafanikio

Kwa kifua nimeshachomwa sindano nadhani nmemaliza zote, cristapen,sijui hydrocotizone zile.sindano zinazovuta dawa zenyewe kulingana na mapigo ya moyo zote nmechoma,dawa za kumeza nmekunywa sana aminophiline,ephedrine,predinisalone na franol zipo nyingi nyingine nimezisahau majina,nmeshatumia dawa za kupuliza kinywani pindi napohisi kifua kama kinataka kubana(obvious ni wakati wa mawingu mawingu kama mvua inataka kunyesha kuna feelings fulani nazipata na kujua kabisa kifua changu hakiko vizuri)..Lakini pamoja na hayo naumwa kifua ambacho kina maajabu kidogo nikibanwa kifua nikikaa kwenye baridi au upepo ndo napata nafuu,sijawahi sikia hii lakini kwangu ndivyo ilivyo!!

Pili naumwa kifua lakini naweza kimbia riadha hata kilometa saba kwenda na kurudi na.nikawa vizuri tu,lakini siku kikiamua kubana kimeamuana,na kinabana.hasa mtu akibahatika kuniona anajua nakufa,kifua kikinibana siwezi kukaaa wima inanibidi nijikunje kidogo ili niweze kupumua na.sivyo hewa inakua kama.inakata,na kikipona nakua naumwa sana mgongo na mbavu( sababu ya kupumua kwa shida )

Watu wanasema na aleji lakini nmejaribu kutafuta na aleji na kitu gani miaka takribani 10 ya kujielewa kwangu laini sijafanikiwa kujua na aleji na.kitu gani ?

Ugonjwa wa pili ni ngozi,hii inanisumbua sana najikuna kila mara,mpaka mbele za watu,na nikikuna mahala panapowasha kunatokea vipele baadae vipele vinatengeneza kibalango ambacho kinatoa majimaji na kuwasha zaidi na kusambaa kwa kadri navyozidi kujikuna ndivyo ugonjwa unavyozidi kusambaaa kwa kasi nikizidi jikuna ndivyo panavyozidi kua sugu na kutengeneza kama alama nyeusi yenye mapele makubwa zaidi yenye majimaji yaani hali ni mbaya

Nmeshaenda hospitali maana huu ni ugonjwa wangu wa muda mrefu sana,zamani ulikua mwili mzima,lakini ukapungua wenyewe na.kubaki sehemu sehemu za maungio ya mwili lakini sasa unarudi tena,nawashwa mpaka usoni nikijikuna mabalango yananitokea,najaribu kufikiria ntakua mtu wa aina gani sasa?

Nmeenda hospitali nmepewa dawa za aina mbalimbali kuna mafuta ya kupaka lakini hola,nmepewa dawa za tube za kupaka kama safi cream lakini wapi

Mwisho.wa siku nmejaribu kutumia dawa inaitwa gentriderm cream,hii dawa kwa mujibu wa maelezo ya dakitari ni jamii moja na hio hapo juu safi cream ila imenipa unafuu ila hio safi cream.imeshindwa !!!...,lakini changamoto yake ni kwamba nikiacha kupaka tu,ugojwa wa ngozi unarudi vile vile tena kwa kasi,nmelazimika kuandika.uzi huu nione kama.naweza.pata njia.mbadala maana nawasiwasi nikiendelea na dawa.hizi huko mbeleni naweza kuja pata hata kansa ya ngozi,

Changamoto nyingine nayokutana nayo ni hizi gentriderm ni krimu kama jina lake lilivyo napopaka usoni nakua mweupe,sasa mimi ni.mtoto.wa kiume japokua naumwa ndio lakini naona kama reputation yangu inaharibika,watu wanaponiambia kua siku hizi unakua mweupe!!,najiskia vibaya sana lakini sina jinsi ndo maana.nmeona.nijitokeze hapa mbele yenu wadau kama kuna mtu anaweza nipa ushauri nifanyeje

Jambo lingine ni kuwa mimi siwezi kabisa kula karanga hasa mbichi,na kama nikila nawashwa sana koo,na.kuvimba mwili na kutema.mate yanayovutika kama mlenda

*Lakini kama.karanga zitapikwa nakula vizuri tu bila shida yeyote!! Sasa wataalamu mnisaidie sijui hii ni.aleji gani ?

Kwa wataalamu wajuzi wa afya na tiba naomba mnisaidie mwenzenu
Ni PM,utaweza kusadiwa zaidi
 
Ni PM,utaweza kusadiwa zaidi
Tuba Yake ni dawa gani?
IMG_20180806_200042.jpg
 
Back
Top Bottom