Kuanzia utotoni na hadi maisha ya shule nimekua katika hali ya kuyapeleka maswala yangu haraka haraka kadri ninavyotaka mimi. Katika style hiyo ya maisha imenipa faida na maendeleo mazuri.
Lakini aina hiyo ya maisha sikuwahi kabisa kumshawishi mwanamke tukaingia naye mahusiano. Nilijaribu kuwashawishi lakini walikataa wengine waliniahidi ahadi hewa. Hali hiyo haikunishutua kabisa, wasichana walionindaganya na kunikataa niliwapuuza na kuwaona ni wajinga tu. Kwani mimi nilijiona ni mume mzuri wenye kila sifa.
Na zaidi ya yote nilipohisi hali ya kufanya mapenzi nilienda kununua makahaba na kupiga masturbation. Kwa kweli katika ulimi na kinywa changu sina kabisa maneno ya kubebeleza mtu.
Maswala sasa yanakuwa magumu sana kwani hahitaji mke wa kuoa ili na mimi ni maisha yawe kama wengine na kuwa na mwanamke anayenipenda kwa hiyari yake.
Kila mwanamke ninayemfata nikajaribu kumweleza kumuoa analeta mapozi na kukataa hali ambayo inayonifanya kukataa tamaa. Na nafsi yangu huniambia huwezi kukaa ukimubebeleza mtu.
Wanawake ambao mpo humu JF naomba mnieleweshe, kwani ni lazima mbebelezwe na mpewe maneno matamu ambayo mengi ya maneno hayo ni uongo?
Napenda mtu kama wewe aliejifunza in a hard way, ikikukosti ndio utajua kubembeleza kuna maana au hakuna maana.Mimi ilishanikosti hyo ya kutobembeleza mwanamke.
wanawake hawahitaji kubembelezwa!Kuanzia utotoni na hadi maisha ya shule nimekua katika hali ya kuyapeleka maswala yangu haraka haraka kadri ninavyotaka mimi. Katika style hiyo ya maisha imenipa faida na maendeleo mazuri.
Lakini aina hiyo ya maisha sikuwahi kabisa kumshawishi mwanamke tukaingia naye mahusiano. Nilijaribu kuwashawishi lakini walikataa wengine waliniahidi ahadi hewa. Hali hiyo haikunishutua kabisa, wasichana walionindaganya na kunikataa niliwapuuza na kuwaona ni wajinga tu. Kwani mimi nilijiona ni mume mzuri wenye kila sifa.
Na zaidi ya yote nilipohisi hali ya kufanya mapenzi nilienda kununua makahaba na kupiga masturbation. Kwa kweli katika ulimi na kinywa changu sina kabisa maneno ya kubebeleza mtu.
Maswala sasa yanakuwa magumu sana kwani hahitaji mke wa kuoa ili na mimi ni maisha yawe kama wengine na kuwa na mwanamke anayenipenda kwa hiyari yake.
Kila mwanamke ninayemfata nikajaribu kumweleza kumuoa analeta mapozi na kukataa hali ambayo inayonifanya kukataa tamaa. Na nafsi yangu huniambia huwezi kukaa ukimubebeleza mtu.
Wanawake ambao mpo humu JF naomba mnieleweshe, kwani ni lazima mbebelezwe na mpewe maneno matamu ambayo mengi ya maneno hayo ni uongo?
akili za kivulana!Waonyeshe hela watakufata hao km vile kuku wa kuchinjwa anavyo rushiwa mchele kuelekea bandani.
Kwanza rudi shule ya TAPA hapo Shy,ujifunze jinsi ya kuandika kiswahili fasaha na siyo utumbo na mavi ya mbuzi au vipi?,pia kumbuka una sura mbaya na tabia mbaya ndio sababu umesema unanunua makahaba na kupiga nyeto,mwanaume mzima kusema unapiga nyeto hadharani ni utovu wa adabu kefule weye mwenye govi,potea usirudi tena jukwaani kenge bluu wewe.Kuanzia utotoni na hadi maisha ya shule nimekua katika hali ya kuyapeleka maswala yangu haraka haraka kadri ninavyotaka mimi. Katika style hiyo ya maisha imenipa faida na maendeleo mazuri.
Lakini aina hiyo ya maisha sikuwahi kabisa kumshawishi mwanamke tukaingia naye mahusiano. Nilijaribu kuwashawishi lakini walikataa wengine waliniahidi ahadi hewa. Hali hiyo haikunishutua kabisa, wasichana walionindaganya na kunikataa niliwapuuza na kuwaona ni wajinga tu. Kwani mimi nilijiona ni mume mzuri wenye kila sifa.
Na zaidi ya yote nilipohisi hali ya kufanya mapenzi nilienda kununua makahaba na kupiga masturbation. Kwa kweli katika ulimi na kinywa changu sina kabisa maneno ya kubebeleza mtu.
Maswala sasa yanakuwa magumu sana kwani hahitaji mke wa kuoa ili na mimi ni maisha yawe kama wengine na kuwa na mwanamke anayenipenda kwa hiyari yake.
Kila mwanamke ninayemfata nikajaribu kumweleza kumuoa analeta mapozi na kukataa hali ambayo inayonifanya kukataa tamaa. Na nafsi yangu huniambia huwezi kukaa ukimubebeleza mtu.
Wanawake ambao mpo humu JF naomba mnieleweshe, kwani ni lazima mbebelezwe na mpewe maneno matamu ambayo mengi ya maneno hayo ni uongo?
Wewe mrembo umegundua kitu muhimu sana,USHAMBA ni mzigo,lijitu lina govi halafu halina muonekano wala mvuto au mauzo eti linataka wanawake walipende?daah hivi hata basic things za mwanaume kuwa na mvuto hazijui?limekalia kuchunga mifugo na kula michembe bila kujijua halafu linakuja humu kuhara au sijui linafikiria tuko Ntuzu marabuku.Tatizo huyu ngosha sijui ni ushamba unamsumbua![]()
![]()
![]()
Maelezo gani zaidi ya upupu na govi lako?Nitakuja kwa maelezo zaidi
Mamii vipi?naona sasa hivi umeanza kunimind au vipi?,nikutoe out for dinner tukapate chicken teriyaki au tepanyaki na sushi pale Japanese restaurant au vipi?bila kusahau Asahi beers na Singha beers kwa ajili ya ashki zetu za asili au vipi?ili tufurahie mother nature au?naamini utajisikia kiumbe mpya alietunukiwa bahati zoote duniani habiby wangu au unaonaje?Tatizo huyu ngosha sijui ni ushamba unamsumbua![]()
![]()
![]()
Nasubiri jibu lako baby,kwani jibu lako ni dhahabu kwangu wewe mtoto maruhubi wa majaza na mahabba bin mahabubaaa ya siti binti laylati el murradi ya hafidh bina maruwaaan ya habiby asmaraani ya ashk kul madhluuum ya Vale muhibbu.Tatizo huyu ngosha sijui ni ushamba unamsumbua![]()
![]()
![]()
Basi nawe mrembo ukiona mimi nashoboka usizidishe nyodo bhana au vipi?kwani kuku mwenzie kisu kikali hiki ninacho mkononi lazima uchinjwe ili ufurahie haki yako ya kijinsia bila kupunjwa au vipi?yaani lazima nikufikishe kule kileleni kwa raha zako au vipi?si unajua mambo na utofauti wa kijinsia ni kubadilishana jinsia zikipokezana kupeana haki zao huku sisi tukisikilizia maraha mithili ya kutafuna tindi za mua ambazo ladha yazo ni sisi watafunaji ndio twazisikia au vipi mrembo?Tatizo huyu ngosha sijui ni ushamba unamsumbua![]()
![]()
![]()
Ok baby ulale mnono uniote tafadhali,good night mwaah mwaah,i love you baby,.,.,.,.,.,.sweet dreams tafadhali bila kusahau ile ya honey blossom.Tatizo huyu ngosha sijui ni ushamba unamsumbua![]()
![]()
![]()