Msimamo wa chama,Serikali 2, Kura ya Wazi:Haya mambo mawili ndio yananifanya kila siku niwaze, CCM mwenyewe nani?
Je,hakuna wanaCCM wa serikali 3? Je,wale wawili wa bungeni ndo hao tu wanataka kura ya siri? Je,CCM ni Nape,Jk na Kinana?
Je,CCM haiheshimu mawazo ya wale waliokuwa wanaheshimu mawazo yao kwa miaka mingi sasa?
Je,pale mjengoni,CCM ni Wasira,Pinda,Mkuchika na Lukuvi?
Bado nawaza,CCM ni ya nani? Mbona hao wakiongea wengine ni kuunga mkono tu?? Naenda tafuta chakula kwanza then nitarudi kama nikishiba,maana mfukoni hali ni tete!
Je,hakuna wanaCCM wa serikali 3? Je,wale wawili wa bungeni ndo hao tu wanataka kura ya siri? Je,CCM ni Nape,Jk na Kinana?
Je,CCM haiheshimu mawazo ya wale waliokuwa wanaheshimu mawazo yao kwa miaka mingi sasa?
Je,pale mjengoni,CCM ni Wasira,Pinda,Mkuchika na Lukuvi?
Bado nawaza,CCM ni ya nani? Mbona hao wakiongea wengine ni kuunga mkono tu?? Naenda tafuta chakula kwanza then nitarudi kama nikishiba,maana mfukoni hali ni tete!