"Anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua nyimbo"Mkuu,ina maana hao wabunge wote,viongozi wa halmashauri,wenyeviti wa vijiji,na vitongoji,wote wanataka serikali 2 na kura ya wazi?
"Anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua nyimbo"Mkuu,ina maana hao wabunge wote,viongozi wa halmashauri,wenyeviti wa vijiji,na vitongoji,wote wanataka serikali 2 na kura ya wazi?
Kabla ujaiuliza hayo jiulize CHADEMA NI YA NAN? JIBU RAHISI MTEI,MBOWE,SLAA NA WACHAGA WOTE NA MAPADRI/WAKRISTO........
CCM YA WANANCHI
Mkuu,ina maana hao wabunge wote,viongozi wa halmashauri,wenyeviti wa vijiji,na vitongoji,wote wanataka serikali 2 na kura ya wazi?
hilo la wakrito wote nalikubali,hata wakrito walioko ccm wote ni chadema ndio maana mikoa yote wanayoongoza ina maendeleo makubwaKabla ujaiuliza hayo jiulize CHADEMA NI YA NAN? JIBU RAHISI MTEI,MBOWE,SLAA NA WACHAGA WOTE NA MAPADRI/WAKRISTO........
CCM YA WANANCHI
Kabla ujaiuliza hayo jiulize CHADEMA NI YA NAN? JIBU RAHISI MTEI,MBOWE,SLAA NA WACHAGA WOTE NA MAPADRI/WAKRISTO........
CCM YA WANANCHI
CCM ni ya EDO, mnajisumbua tu.
Msimamo wa chama,Serikali 2, Kura ya Wazi:Haya mambo mawili ndio yananifanya kila siku niwaze, CCM mwenyewe nani?
Je,hakuna wanaCCM wa serikali 3? Je,wale wawili wa bungeni ndo hao tu wanataka kura ya siri? Je,CCM ni Nape,Jk na Kinana?
Je,CCM haiheshimu mawazo ya wale waliokuwa wanaheshimu mawazo yao kwa miaka mingi sasa?
Je,pale mjengoni,CCM ni Wasira,Pinda,Mkuchika na Lukuvi?
Bado nawaza,CCM ni ya nani? Mbona hao wakiongea wengine ni kuunga mkono tu?? Naenda tafuta chakula kwanza then nitarudi kama nikishiba,maana mfukoni hali ni tete!