sio kama hawapendi wake zao wapendeze! ni ubahili tu wa kuwanunulia pamba za nguvu. wanaishia kutamani wake wa wenzao na kusingizia eti mke wa mtu anapaswa kujiheshim. mnunulie mkeo pamba za ukweli zenye heshima!
Dark city ..kweli naomba Mungu atuongezee chumvi ila Kongosho kasema ye anajionea wenzake 40's wananuna atiii..au tuwakusanye uwape semina nini? ila nikifikia meno yanatoka bila ganzi wala nini kweli ina raha yake ,hongera kama we umefikia hizo namba za miaka lol
Karibu sana Lolys,
Tutaendelea kuvutana vutana taratibu.....Kwa hiyo mweleze Kongosho (ambaye naamini ni mzeofu kiasi chake) ajipe moyo na kutoa nafasi ili ajifunze mengi zaidi as time goes by!!!
Haya mambo ni megumu na hayana kanuni. Ila uzoefu una mchango mkubwa katika kuweka mambo sawa ...Ila suala moja muhimu ni kwamba bado mwanamume ataendelea kuhisi anaweza kuibiwa hata kama mke keshafikia >60yrs. Na pia wote wataendelea kutamani vya wenzao hata kama hawatachukua hatua..LOL.
Hizi facts zinasaidia kupunguza ghubu!!
Babu DC (1947)!!
Dark City mi huwa natamani kuwaona babu vs bibi wakioneana wivu na uzee wao halafu wajukuu ndio wanaamulia ..inaraha yake kiukweli ingawa unaweza kuta bibi anamind kwelikweli ila its funny natamani Mungu aongeze chumvi na mm nipitie hyo halafu hapo sasa ukute na kilugha kinapanda halafu niko kijijini haa haaa
sio kama hawapendi wake zao wapendeze! ni ubahili tu wa kuwanunulia pamba za nguvu. wanaishia kutamani wake wa wenzao na kusingizia eti mke wa mtu anapaswa kujiheshim. mnunulie mkeo pamba za ukweli zenye heshima!
1. Mke lazima ang'ae banaaa......kwangu hilo ni lazima as akiwa gud luking inakujengea heshima sana wewe mume tena ikibidi gongesha pamba zaid ya ulivyomkuta (enzi za uchumba)
2. Kama nguo unanunua wewe then zikivaliwa ndo unune???? How come...!!!!!!
3. Kama kweli huzimiki wyfe kupendeza then..... this particular guy angenuna siku ya ndoa pale anaporembwa (kupendezeshwa)
Swali kwa mleta thread
Yeye huyo anayenuna upande wa Kupendeza ana-concepualize vipi? Msije kuwa two opposing poles na ukawa unamlaumu bure ilhali alfajiri kwake baadooooo kabisaaaaaal