Kwani lazima mvae hizi chupi?

Kwani lazima mvae hizi chupi?

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,618
Reaction score
27,596
Ndio matokeo ya kujichokonoa kila saa kuivuta chupi ,si mvae zinazoziba makalio jamani ona hii dhahama sasa
Mnaovaa hizi chupi ndio mnakuwaga hivi kila saa team nandy meme
Screenshot_2018-04-17-09-12-00-1.jpg
 
hahahahahaaa mambo ya bikini hayo sjui wanazpendea nn yani zinakakamba kamoja tu kanapota kwenye mstar wa ikweta yn daaahh
 
Hizi bikini kwa kweli zilishaga nipita kushoto,kwanza hua nahofia marinda yangu hako kamkanda kanavyoingia katikati nakua sina amani,pili nahofia makalio kugawanyika na kuweka uwazi hata ukivaa suruali yanakaa moja mashariki lingine magharibi bila kuwa na ushirikiano.
Ndo mana najivaliaga chupi ya kufunika tako lote,au zile boxer za kike,au hata za kiume napiga tu,nikishindwa kabisa natemba tu hivyo hivyo,tunashauriwa tuwe tunaacha vibumbu vipigwe hewa
 
Back
Top Bottom