Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,972
- 3,830
avatar yako inatia kinyaa,kuna waislam humu tafadhali
swastika......alama hii waonyeshe WAKRISTO NA WAYAHUDI na wakwambie ni nini kwao
KWELI NYANI HAONI KUNDULE..... sio tusi mwana wa udongo
avatar yako inatia kinyaa,kuna waislam humu tafadhali
avatar yako inatia kinyaa,kuna waislam humu tafadhali
Fikra ni output ya kutafakari au kutafakuri..sasa sijui unaezaje kuitumia fikra kujibu..mashuzi matupu!Unaona, tatizo ndo hili.... Kama nsipotumia fikra, ningekujibu hivi: 'na wewe kama unaona hii post haiku-impress, kwanin usisome zngine uachane nayo, au uweke ya kwako"?
Great thinker, my a$$, we ndio umepewa na JK kifaa cha kuwapimia..Lakini kwa sababu nafikiri nakujibu hivi: think through then reply mazee, donk drink through!! Great thinkers are way ahead of ya.... if ya not! I am, take that as a compliment to you!
Yeye ni great thinker...Kama ulikuwa tu unasikia neno mnafki basi usipate shida kujuwa mnafki anafananaje, jiangalia wewe kwanza utamjuwa mnafki ni mtu wa namna gani!
sasa wewe hiyo Avatar yako hauoni kama vilevile inatia kinyaa? haujuwi kama humu kuna wayahudi? au ndio nyani halioni kundule?
Yah, ni thinker wa kufikiri utumbo.Yeye ni great thinker...
Tengezeni forum yenu ya kukisifu chama cha mafisadi basi muone kama mtapata traffic..mbona mnang'ang'ania JF kama luba? sour grapes eeh?mada yako itafutwa muda si mrefu........ongea swala la kumtetea MBOWE kuwa hana UKABILA na chadema si chama cha kidini....HAPO HATA BUTTON YA KUKUPA SENKYU ITARUDISHWA KWAKO
Fikra ni output ya kutafakari au kutafakuri..sasa sijui unaezaje kuitumia fikra kujibu..mashuzi matupu!
Great thinker, my a$$, we ndio umepewa na JK kifaa cha kuwapimia..
Kwenda zako mbunge usiyechaguliwa!, kawadanganye haohao vilaza wenzako CCM.
Elifasi, naomba utambue kwamba watu hapa (JF) wanajaribu kutoa maoni yao kama watanzania wengine, kuwa na mrengo wa kupinga maovu ya CCM ni haki yao au kuwa Great thinker ni kusapoti CCM? Kuna hoja tata nyingi ambazo serikali ya CCM imeshinda kuzishughulikia mf. Dowans, Richmond, Kagoda, Meremeta, Radar, Katiba, Wizi wa mali za Umma, uchakachuaji matokeo ya urais, meya Arusha, ufisadi UBT, Maliasili, TICS, Mramba na wezi wenzie, RA, EL. Sasa kwa utitiri wa mauvu haya unategemea wananchi watakuwa positive towards CCM na serikali yake? Ndio maana kila kona CCM inashambuliwa si hapa tu (mimi nashiriki ktk midahalo at ground level). CCM hawataki ku-deal na tatizo isipokuwa wanatafuta mchawi.
Ndo maana matumbo yanakudondoka, hufikirii..... FIKRA NI PROCESS YA KUZALISHA OUTPUT... NA output ndo huo upupu wangu ambao kwa wewe kuuelewa mpaka urudishiwe utumbo wako, Oh sore ubongo..... or neva!!!! tehtehtehhhh!!!! Haya mambo hayalazmishwi mwana, unakumbuka walimu wako walivokua wanakulazmisha uwaone wanajua? what a bad student u've turn out 2b, inert brain....keep on living in the permanent present!
Tengezeni forum yenu ya kukisifu chama cha mafisadi basi muone kama mtapata traffic..mbona mnang'ang'ania JF kama luba? sour grapes eeh?
Ndo maana matumbo yanakudondoka, hufikirii..... FIKRA NI PROCESS YA KUZALISHA OUTPUT... NA output ndo huo upupu wangu ambao kwa wewe kuuelewa mpaka urudishiwe utumbo wako, Oh sore ubongo..... or neva!!!! tehtehtehhhh!!!! Haya mambo hayalazmishwi mwana, unakumbuka walimu wako walivokua wanakulazmisha uwaone wanajua? what a bad student u've turn out 2b, inert brain....keep on living in the permanent present!
Kheeee kheee heeee....Eee! Tutabanana hapahapa...Tengezeni forum yenu ya kukisifu chama cha mafisadi basi muone kama mtapata traffic..mbona mnang'ang'ania JF kama luba? sour grapes eeh?
Dogo mbona una hasira? Sasa ndo gret sinka gani wewe. Mziki si umeuanzisha mwenyewe dogo? Hapo ndo utajua kuwa JF ni mboga ama mbegu? Kudadeki.
Evidence JF comments kila pahala: Mara nyingi mtu akipost comment au topic inayoonekana kuizungumzia serikali au mmoja wao (wa sasa au wazamani) positively comments zimekua zikirushwa kwamba si pahala pake (si jukwaa la kusafisha chama au hao). Najiuliza, conventionally au hata radically, fikira zilizotukuka ni lazima zisapoti hoja inayopinga serkali/chama/fisadi au kama kuna kitu positive anaweza kiibua na kutoa analysis, na iheshmiwe as long as ni mawazo yake.
Vinginevo tuache kuiiita forum za great thinkers iwe ya great political oppositionists!!! Hili ni ANGALIZO na si kusapoti uovu au kusafisha. Nasapoti fikra si unguided, induced venomenous negativity! This way tutawaondoa wapayukaji na wapigadebe walioacha vichwa chooni na kuingia hapa na shingo pekeake!
Duh! Kumbe...!Ndio maana unaona JF ni opposition