Evidence JF comments kila pahala: Mara nyingi mtu akipost comment au topic inayoonekana kuizungumzia serikali au mmoja wao (wa sasa au wazamani) positively comments zimekua zikirushwa kwamba si pahala pake (si jukwaa la kusafisha chama au hao). Najiuliza, conventionally au hata radically, fikira zilizotukuka ni lazima zisapoti hoja inayopinga serkali/chama/fisadi au kama kuna kitu positive anaweza kiibua na kutoa analysis, na iheshmiwe as long as ni mawazo yake.
Vinginevo tuache kuiiita forum za great thinkers iwe ya great political oppositionists!!! Hili ni ANGALIZO na si kusapoti uovu au kusafisha. Nasapoti fikra si unguided, induced venomenous negativity! This way tutawaondoa wapayukaji na wapigadebe walioacha vichwa chooni na kuingia hapa na shingo pekeake!
Vinginevo tuache kuiiita forum za great thinkers iwe ya great political oppositionists!!! Hili ni ANGALIZO na si kusapoti uovu au kusafisha. Nasapoti fikra si unguided, induced venomenous negativity! This way tutawaondoa wapayukaji na wapigadebe walioacha vichwa chooni na kuingia hapa na shingo pekeake!