Huku kwetu washamba saanaMbona Rais wa Kenya Mh. Uhuru Kenyata anavaa culture siku zote na mahali popote. Fanya moyo wako unachoona sawaView attachment 1261930
Kwani huko mkoa gani mkuu?Huku kwetu washamba saana
Ndio maana kumbe!Songwe
Kama ni kiunoni, sio mbaya chiefWakuu mimi napenda sana kuvaaa 'kacha' (Culture) za shanga wanazovaa Wamasai na napenda kuvaa za bendera za Africa, ila kuna watu huwa wananiambia hizi kacha wanastaili wavae watoto wa kike.
Je, ni kweli au?