MMMH!!kweliii itakuwa dhambiii...muizi wa kuku na muizi wa bilioni 5 ni sawaa?dogo alie ibaa kalamu ya mwenzie na kijana alie uwaa na kuibaa malii ni sawa?
unataka kuiba au unataka kuchukua...kama unazichukua wewe zichukue uwarudishie wananchi....ila kama ni kuiba hapana maana mafisadi watakuwa hawajui kama hela zimerudi kwa wananchi