kwani kuiba ni dhambi??

mpigilie

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
310
Reaction score
136
Wana jf,

Hivi nikifanikiwa kuwaibia mafisadi mihela yote waliyowaibia watanzania,halafu nikairudisha hiyo mihela kwa watanzania nitakua nimetenda dhambi kweli?
 
Ukiiba wewe ni mwizi, no matter unamwibia nani na unaiba nini. Tumia njia halali kurudisha lakini ukiiba utatenda dhambi.
 
Iba uje nazokwangu,nikupeleke kwa watanzania uzirudishe! Hutokua na dhambi
 
MMMH!!kweliii itakuwa dhambiii...muizi wa kuku na muizi wa bilioni 5 ni sawaa?dogo alie ibaa kalamu ya mwenzie na kijana alie uwaa na kuibaa malii ni sawa?
 
unataka kuiba au unataka kuchukua...kama unazichukua wewe zichukue uwarudishie wananchi....ila kama ni kuiba hapana maana mafisadi watakuwa hawajui kama hela zimerudi kwa wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…