Habari wana JF.
Hivi lile tukio la kutekwa msanii Roma Mkatoliki kesi yake imeishia wapi?
Roma alisema maelezo yote waliyoyataka polisi amewapa na kila kitu ameeleza.
Roma yupo. IGP yupo.
Nakumbuka ktk tukio la Lissu, Sirro anasema wanamsubiri Lissu na dereva.
Je, hili la Roma, wanamsubiri nani, Osama au Idd Amin?///
......Aibu yenu polisi.
Unaharibu sana nchi hii.
Hivi lile tukio la kutekwa msanii Roma Mkatoliki kesi yake imeishia wapi?
Roma alisema maelezo yote waliyoyataka polisi amewapa na kila kitu ameeleza.
Roma yupo. IGP yupo.
Nakumbuka ktk tukio la Lissu, Sirro anasema wanamsubiri Lissu na dereva.
Je, hili la Roma, wanamsubiri nani, Osama au Idd Amin?///
......Aibu yenu polisi.
Unaharibu sana nchi hii.