johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,922
- 141,888
Naomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Naomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
That's independent territory.... Tena ni ya kimapinduziNaomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
hahahahahaa kizimkazi sioHilo katazo itakuwa mwisho wake Chumbe
♣♥♠♦
Naomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Kuna Watu wa ' Upinzani ' nchini Tanzania wanadhani Mtu mmoja ni Mwenzao na wanamuamini kwa 99% hadi wanamkaribisha ' Jikoni ' Kwao ila wangejua kama kuna Mtu ambaye ndiyo anawaumiza na anawachuuza huku akiwasanifu ni ' Mtu Fulani ' hivi na mpaka wakija Kumshtukia nina uhakika watakuwa wameshapotea na kuvurugika kabisa. Naomba niishie hapa tafadhali.
Kama ni muoga kuandika majina basi ungekaa kimya tu
Hapa jf hakuna uoga wa kuandika kitu unachokiamini
Hilo uliza wewe!Ulizia na yale yanayofanyika Dodoma ya kupokea wanachama wa upinzani kwenda ccm nayo ni moja ya aina ya mikutano iliyokatazwa au
Zanzibar ina Katiba yake na Serikali yake ambayo inajiamulia baadhi ya mambo yakiwemo ya kisiasa.Naomba tu kaufafanuzi lile katazo la mikutano ya kisiasa ni kwa Tanganyika tu au linafika hadi Unguja na Pemba?
Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Hilo uliza wewe!
Kumbe Zanzibar inajiamulia mambo ya kisiasa!!Zanzibar ina Katiba yake na Serikali yake ambayo inajiamulia baadhi ya mambo yakiwemo ya kisiasa.
Hata hivyo mpaka sasa chama cha ACT Wazalendo hakijafanya mikutano ya hadhara, nadhani harakati zinazoendelea huko ni zile za kushusha tanga kwenye Jahazi moja na kupandisha kwenye Jahazi lingine ili chombo chao kianze safari
Ok!kiini macho kuonyesha kwamba kuna demokrasia ili wahisani waendelee kutuma misaada....wanajaribu kurekebisha makosa.
Huhitaji rocket science kujua nani anazungumziwa.Kama ni muoga kuandika majina basi ungekaa kimya tu
Hapa jf hakuna uoga wa kuandika kitu unachokiamini
Mkuu tokea lini Zanzibar ikawa nchi . Zanzibar ni sehemu ya TanzaniaSerikali ya Mapinduzi Zanzibar inajua na kufuata Katiba juu ya Demokrasia.......
siyo Nungwi.Hilo katazo itakuwa mwisho wake Chumbe
♣♥♠♦