naa akakosa hata swala, lolHahahaha eti ulinzi shirikishi wa sungusunguzu
Mwenzako alienda ngorongoro kuwinda wanyama
Ila huyu lil nas jaman, mavazi yake yanashangaza sana lol.Fashion mbali mbali BET red kapet
View attachment 1834383View attachment 1834385View attachment 1834388
Mke wa mtu huyo ohooooo lazima awe na pigo amaizing unataka asivutie wakati bwana ake ana pesa?Ila huyu lil nas jaman, mavazi yake yanashangaza sana lol.
Mke wa mtu huyo ohooooo lazima awe na pigo amaizing unataka asivutie wakati bwana ake ana pesa?
Ndugu, ulitaka usiwe mnafiki kivipi?Nisiwe mnafiki, nimeshangaa sana! Sababu ni hizi hapa, nitapokea kukosolewa sababu si mtaalamu sana;
1. Haimbi nyimbo za asili sasa uasili ule ulitoka wapi?!!! Angekuwa Mpoto ingekuwa safi kabisa.
2. Kwanini hakuvaa ya kwao ya kimanyema? Hataki kabila lake lijulikane? Angeulizwa pale, kwa mfano na wale waliokuwa wanamfuata na kumshangaa na kumcheka, habari za kimasai angeweza kujibu?!! Anyway, sishangai sana kwani nilishawahi kumuona na heleni zenye msalaba wakati nasikia yeye ni Muslim.
3. Sijapendezwa na ile hali ya kumfanya kituko au mshamba fulani......hata hvyo lingao lile lilikuwa linaenda wapi duniani kama kule na karne kam hii?!!! Kwani Nigeria hakuna makabila?!!
🤣🤣🤣🤣🤣Alifikiri kule kuna ulinzi shirikishi wa sungu sungu.
Yeye anahangaika maana kaenda huko kutuaibisha nakutufanya tuonekana mapotolo kule ulidhani ni yeye tu.Ndugu, ulitaka usiwe mnafiki kivipi?
Mondi anatengeneza maisha yake na si yako.
At least he tried!
Kwanini roho iumie kwa mambo hata huna tija nayo?
mbna wapo wengi wameolewa, na mabwana zao wana pesa hawavai km yeye, sema yeye ni anahusika kweny modeling na fashion.Mke wa mtu huyo ohooooo lazima awe na pigo amaizing unataka asivutie wakati bwana ake ana pesa?
Na wee humjui? Akati had alimchimba beat dancer wake kuwa anamla lil nas,Bwana ake nani?
Masai Girl,Nisiwe mnafiki, nimeshangaa sana! Sababu ni hizi hapa, nitapokea kukosolewa sababu si mtaalamu sana;
1. Haimbi nyimbo za asili sasa uasili ule ulitoka wapi?!!! Angekuwa Mpoto ingekuwa safi kabisa.
2. Kwanini hakuvaa ya kwao ya kimanyema? Hataki kabila lake lijulikane? Angeulizwa pale, kwa mfano na wale waliokuwa wanamfuata na kumshangaa na kumcheka, habari za kimasai angeweza kujibu?!! Anyway, sishangai sana kwani nilishawahi kumuona na heleni zenye msalaba wakati nasikia yeye ni Muslim.
3. Sijapendezwa na ile hali ya kumfanya kituko au mshamba fulani......hata hvyo lingao lile lilikuwa linaenda wapi duniani kama kule na karne kam hii?!!! Kwani Nigeria hakuna makabila?!!
Mkuu mbavu hazikuumi coz wapenda kucheka all the tyme