Kwani aliyemshauri Diamond Platnumz kuvaa vile nani?

41992d347bb34e2b8ad2fc5eb832d914.jpg
 
Nisiwe mnafiki, nimeshangaa sana! Sababu ni hizi hapa, nitapokea kukosolewa sababu si mtaalamu sana;

1. Haimbi nyimbo za asili sasa uasili ule ulitoka wapi?!!! Angekuwa Mpoto ingekuwa safi kabisa.

2. Kwanini hakuvaa ya kwao ya kimanyema? Hataki kabila lake lijulikane? Angeulizwa pale, kwa mfano na wale waliokuwa wanamfuata na kumshangaa na kumcheka, habari za kimasai angeweza kujibu?!! Anyway, sishangai sana kwani nilishawahi kumuona na heleni zenye msalaba wakati nasikia yeye ni Muslim.

3. Sijapendezwa na ile hali ya kumfanya kituko au mshamba fulani......hata hvyo lingao lile lilikuwa linaenda wapi duniani kama kule na karne kam hii?!!! Kwani Nigeria hakuna makabila?!!

Ndugu, ulitaka usiwe mnafiki kivipi?
Mondi anatengeneza maisha yake na si yako.
At least he tried!
Kwanini roho iumie kwa mambo hata huna tija nayo?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ndugu, ulitaka usiwe mnafiki kivipi?
Mondi anatengeneza maisha yake na si yako.
At least he tried!
Kwanini roho iumie kwa mambo hata huna tija nayo?
Yeye anahangaika maana kaenda huko kutuaibisha nakutufanya tuonekana mapotolo kule ulidhani ni yeye tu.
Hakuna but ni sisi wote
 
Hata mimi nilishangaa kwa yale mavazi kwa kweli hakupendeza. Speshoz angemshonea kasuti kamoja matata mixer kitenge cha batik kwa mbali angefunika kinoma.
 
Nisiwe mnafiki, nimeshangaa sana! Sababu ni hizi hapa, nitapokea kukosolewa sababu si mtaalamu sana;

1. Haimbi nyimbo za asili sasa uasili ule ulitoka wapi?!!! Angekuwa Mpoto ingekuwa safi kabisa.

2. Kwanini hakuvaa ya kwao ya kimanyema? Hataki kabila lake lijulikane? Angeulizwa pale, kwa mfano na wale waliokuwa wanamfuata na kumshangaa na kumcheka, habari za kimasai angeweza kujibu?!! Anyway, sishangai sana kwani nilishawahi kumuona na heleni zenye msalaba wakati nasikia yeye ni Muslim.

3. Sijapendezwa na ile hali ya kumfanya kituko au mshamba fulani......hata hvyo lingao lile lilikuwa linaenda wapi duniani kama kule na karne kam hii?!!! Kwani Nigeria hakuna makabila?!!

Masai Girl,
1624993270217.png



Masai Boy,
1624993414781.png
 
Back
Top Bottom