Hatumuachi sababu matendo yake mwenyewe Ndio yanasababisha aandamwe,hatapumua ngo......Ndugu zangu hebu tumuache huyu mtu apumue!! Kila siku tunamuandama.
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
huku ni kukosa adabu na pengine chuki binafsi.huu ni mtazamo wake hatujui ameangalia nini akaona zitto ni mbunge bora 2012 kwangu mimi zitto ni sawa na makinda,mwigulu au lukuvi hayupo sawa na mnyika wala lissu,hana uwezo sio tu wa kuvaa viatu vyao bali hata kushika kidamu ya viatu vyao(viatu vya lissu na mnyika)