Kwangu mm Extraction ndio movie bora 2020

Watu wanataka ma fiction ya watu wanapaaa net gross ya avenger end game umeiona lakini kule box office??? Hapo ndio utajua ujui
 
Watu wanataka ma fiction ya watu wanapaaa net gross ya avenger end game umeiona lakini kule box office??? Hapo ndio utajua ujui

Kwenye mauzo lazjma marvel atafunika sababu ya umaarufu wao ila kwenye actions hamna kitu ni kuchora mwanzo mwisho
 
Habar wadau

Kuna mambo huwa yanachekesha sn ukiyafuta wachambuzi wa filamu ukimwambia akutajie movie bora 2020 atakuambia siji wonder woman 1984 mara sijui bloodshoot na movie zengine za ajabu ajabu tu ikifike mahala muache ushamba nimechek movie ya extractiom mambo yaliyonishangaza ktk movie iyo
Kwanza camera haikat hii ina maana haikuungwaungwa sn

Pili video inaonekana ni halisi mambo ya animation hayakutumika sn na wala hamna michoro au computer graphics zilizohusika lkn mkong'oto humo ni heavy mtu anapigwa kibano mpaka anatafuta pa kutokea

Tatu actions zilichukua muda mrefu yaan unakuta dk 20 ni vurugu tu camera ipo constant mtu anapanda gar camera ipo anaendesha gar camera ipo anapanda gorofa camera ipo nataka nitafute behind the scene nione ilikuwaje yaan video inaonekana ipo mtaan kabisa duh apa waigizaji muende shule na wale waigozaji mliozoea kuunga unga km huna mazoez kwenye movoe km hz lazima uumbuke

Nawasilisha
Kuna sehemu jamaa anaendesha gari halafu camera inaingia kupitia kioo cha nyuma ad kumfikia jamaa, hy scene nilirudi kuiangalia zaid ya mara 10.
Mm nmesomea film hvy nikiangalia movie kuna mambo lzm niwe makini nayo kwa nia ya kujifunza, kwenye h movie aisee imenitoa jasho hasa upande wa camera (shots)
 
Kuna sehemu jamaa anaendesha gari halafu camera inaingia kupitia kioo cha nyuma ad kumfikia jamaa, hy scene nilirudi kuiangalia zaid ya mara 10.
Mm nmesomea film hvy nikiangalia movie kuna mambo lzm niwe makini nayo kwa nia ya kujifunza, kwenye h movie aisee imenitoa jasho hasa upande wa camera (shots)
Achilia mbal io kwenye gorofa pia camera haikusimamishwa yaan mtu anapanda ngaz camera anashuka ngaz camera ipo pia ukichek kwa makin scene hazikuunganishwa ebu kachek behind the scene wanaweza wakawa wameonesha ni technique gan walitumia
 
Achilia mbal io kwenye gorofa pia camera haikusimamishwa yaan mtu anapanda ngaz camera anashuka ngaz camera ipo pia ukichek kwa makin scene hazikuunganishwa ebu kachek behind the scene wanaweza wakawa wameonesha ni technique gan walitumia
Mbaya zaidi behind the scenes hawaonyeshi Kila kitu zaid ya vipande tuu so huwezi kupata unachotafuta kwa 100%
 
Kwanza movie kutokua na Animation au mambo ya Graphics so kigezo cha kufanya Movie iwe ni bora hilo unatakiwa ujue kwanza.
Habar wadau

Kuna mambo huwa yanachekesha sn ukiyafuta wachambuzi wa filamu ukimwambia akutajie movie bora 2020 atakuambia siji wonder woman 1984 mara sijui bloodshoot na movie zengine za ajabu ajabu tu ikifike mahala muache ushamba nimechek movie ya extractiom mambo yaliyonishangaza ktk movie iyo
Kwanza camera haikat hii ina maana haikuungwaungwa sn

Pili video inaonekana ni halisi mambo ya animation hayakutumika sn na wala hamna michoro au computer graphics zilizohusika lkn mkong'oto humo ni heavy mtu anapigwa kibano mpaka anatafuta pa kutokea

Tatu actions zilichukua muda mrefu yaan unakuta dk 20 ni vurugu tu camera ipo constant mtu anapanda gar camera ipo anaendesha gar camera ipo anapanda gorofa camera ipo nataka nitafute behind the scene nione ilikuwaje yaan video inaonekana ipo mtaan kabisa duh apa waigizaji muende shule na wale waigozaji mliozoea kuunga unga km huna mazoez kwenye movoe km hz lazima uumbuke

Nawasilisha
 
Kwanza movie kutokua na Animation au mambo ya Graphics so kigezo cha kufanya Movie iwe ni bora hilo unatakiwa ujue kwanza.
Unasemaje ww !! Jiulize kwann jackie chan anaonekana ni bora zaid kuliko jet li japo wanachuana maana jet li nae anatembeza doz si za nchi hii
 
Marvel wamekosa washaur ile kamba wamekosea kuwa ya mionz bora ata ingekuwa kawaida alafu mtu anapaa na bomu rocket how is this possible ni pumba tupu afu kwenye movie bora yenyewe ndio namba 1 hawa marvel wamechoka
jana tu nimeangalia hii movie "Wonder woman" baada ya kuikwepa kwa miezi kadhaa!! Vitu vingine unaangalia basi tu kuvuta-vuta muda!!
 
jana tu nimeangalia hii movie "Wonder woman" baada ya kuikwepa kwa miezi kadhaa!! Vitu vingine unaangalia basi tu kuvuta-vuta muda!!
Pole sana maana ile sio juvuta mda tena bali ni kupoteza chek io niliokuambia hutojuta
 
Tatizo wamezidisha kuchora mpaka wanaboa
mkuu unaelewa kwamba kuna aina tofauti za movie na sio zote ni action tu kama john wick au hiyo extraction?
marvel ni movie aina za superhero sci fi ambapo chimbuko lake ni comicbooks.
na ina mashabiki wengi sababu walianza kuuza comicbooks miaka ambayo hakuna hata mmoja kwenye huu uzi bado hamjazaliwa.

kuna horror, actions, science fiction, comedy, adventure, animated, drama, epic, crime, war, disaster, fantasy, superhero. sports na genre nyingine nyingi.

so unaposema kuangalia movie za marvel na DC ni ushamba unakuwa unajichora mwenyewe utakuwa mgeni kwenye hii sekta.

alafu huyo jamaa wa kwenye extraction yeye ndio anacheza character ya THOR kwenye avengers huko marvel.
 
Back
Top Bottom