- Thread starter
- #21
True ile ya kwanza ni bora xaid japo pia ilichorwa ila angalau ilikuwa poaNimeangalia WW84 mpaka nimejutia muda wangu niliopoteza,afadhali hata na ile ya kwanza
True ile ya kwanza ni bora xaid japo pia ilichorwa ila angalau ilikuwa poaNimeangalia WW84 mpaka nimejutia muda wangu niliopoteza,afadhali hata na ile ya kwanza
reality inawezekana ni akili na mbinu za kivita tafuta history ya black mamba wa jwtz enzi za nyerereExtraction si ile movie jamaa mmoja anaua kikosi kizima...?? Sasa mkuu huon huo pia ni uongoo? Yan mtu akaua kundi kubwa kama lile yuko pekeake
Watu wanataka ma fiction ya watu wanapaaa net gross ya avenger end game umeiona lakini kule box office??? Hapo ndio utajua ujui
Kuna sehemu jamaa anaendesha gari halafu camera inaingia kupitia kioo cha nyuma ad kumfikia jamaa, hy scene nilirudi kuiangalia zaid ya mara 10.Habar wadau
Kuna mambo huwa yanachekesha sn ukiyafuta wachambuzi wa filamu ukimwambia akutajie movie bora 2020 atakuambia siji wonder woman 1984 mara sijui bloodshoot na movie zengine za ajabu ajabu tu ikifike mahala muache ushamba nimechek movie ya extractiom mambo yaliyonishangaza ktk movie iyo
Kwanza camera haikat hii ina maana haikuungwaungwa sn
Pili video inaonekana ni halisi mambo ya animation hayakutumika sn na wala hamna michoro au computer graphics zilizohusika lkn mkong'oto humo ni heavy mtu anapigwa kibano mpaka anatafuta pa kutokea
Tatu actions zilichukua muda mrefu yaan unakuta dk 20 ni vurugu tu camera ipo constant mtu anapanda gar camera ipo anaendesha gar camera ipo anapanda gorofa camera ipo nataka nitafute behind the scene nione ilikuwaje yaan video inaonekana ipo mtaan kabisa duh apa waigizaji muende shule na wale waigozaji mliozoea kuunga unga km huna mazoez kwenye movoe km hz lazima uumbuke
Nawasilisha
Achilia mbal io kwenye gorofa pia camera haikusimamishwa yaan mtu anapanda ngaz camera anashuka ngaz camera ipo pia ukichek kwa makin scene hazikuunganishwa ebu kachek behind the scene wanaweza wakawa wameonesha ni technique gan walitumiaKuna sehemu jamaa anaendesha gari halafu camera inaingia kupitia kioo cha nyuma ad kumfikia jamaa, hy scene nilirudi kuiangalia zaid ya mara 10.
Mm nmesomea film hvy nikiangalia movie kuna mambo lzm niwe makini nayo kwa nia ya kujifunza, kwenye h movie aisee imenitoa jasho hasa upande wa camera (shots)
Mbaya zaidi behind the scenes hawaonyeshi Kila kitu zaid ya vipande tuu so huwezi kupata unachotafuta kwa 100%Achilia mbal io kwenye gorofa pia camera haikusimamishwa yaan mtu anapanda ngaz camera anashuka ngaz camera ipo pia ukichek kwa makin scene hazikuunganishwa ebu kachek behind the scene wanaweza wakawa wameonesha ni technique gan walitumia
Habar wadau
Kuna mambo huwa yanachekesha sn ukiyafuta wachambuzi wa filamu ukimwambia akutajie movie bora 2020 atakuambia siji wonder woman 1984 mara sijui bloodshoot na movie zengine za ajabu ajabu tu ikifike mahala muache ushamba nimechek movie ya extractiom mambo yaliyonishangaza ktk movie iyo
Kwanza camera haikat hii ina maana haikuungwaungwa sn
Pili video inaonekana ni halisi mambo ya animation hayakutumika sn na wala hamna michoro au computer graphics zilizohusika lkn mkong'oto humo ni heavy mtu anapigwa kibano mpaka anatafuta pa kutokea
Tatu actions zilichukua muda mrefu yaan unakuta dk 20 ni vurugu tu camera ipo constant mtu anapanda gar camera ipo anaendesha gar camera ipo anapanda gorofa camera ipo nataka nitafute behind the scene nione ilikuwaje yaan video inaonekana ipo mtaan kabisa duh apa waigizaji muende shule na wale waigozaji mliozoea kuunga unga km huna mazoez kwenye movoe km hz lazima uumbuke
Nawasilisha
Unasemaje ww !! Jiulize kwann jackie chan anaonekana ni bora zaid kuliko jet li japo wanachuana maana jet li nae anatembeza doz si za nchi hiiKwanza movie kutokua na Animation au mambo ya Graphics so kigezo cha kufanya Movie iwe ni bora hilo unatakiwa ujue kwanza.
jana tu nimeangalia hii movie "Wonder woman" baada ya kuikwepa kwa miezi kadhaa!! Vitu vingine unaangalia basi tu kuvuta-vuta muda!!Marvel wamekosa washaur ile kamba wamekosea kuwa ya mionz bora ata ingekuwa kawaida alafu mtu anapaa na bomu rocket how is this possible ni pumba tupu afu kwenye movie bora yenyewe ndio namba 1 hawa marvel wamechoka
Ngoja ntaitafute maana Hapa tunapeana link za movie kali hatutak animation sisi
Pole sana maana ile sio juvuta mda tena bali ni kupoteza chek io niliokuambia hutojutajana tu nimeangalia hii movie "Wonder woman" baada ya kuikwepa kwa miezi kadhaa!! Vitu vingine unaangalia basi tu kuvuta-vuta muda!!
naam icheki mkuu, hakukua na kukatwa katwa, unadanganywa uongo ila unaona ni ukweli kabisa hahahaaa!.. ni mzigo wa haja! please nipe feedback ukiicheki.Ngoja ntaitafute maana Hapa tunapeana link za movie kali hatutak animation sisi
Hiyo Extraction nimeshaicheki, nimeona nyingine wadau wamezi list lazima nikazicheki pia!!Pole sana maana ile sio juvuta mda tena bali ni kupoteza chek io niliokuambia hutojuta
mkuu unaelewa kwamba kuna aina tofauti za movie na sio zote ni action tu kama john wick au hiyo extraction?Tatizo wamezidisha kuchora mpaka wanaboa
nenda kacheck 1917 movie nzima hakuna cuts.Bado najiuliza waliwezaje kuandaa actions mda mrefu bila kuungaunga video