Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 754
Tena wale wa wanaocheza pale continental ndio kiboko,manake wanawakamata wababa na kuwafungua zipu ya suruali then wanaanza kukatika na huwa hawavai chupi alafu wanailowesha kanga just imagine.
Kuna ndoa ya muhindi ilivunjika hivihivi baada ya mke kumuona akikatiwa mauno
Hiyo laana tu.
Kaamua kujiajiri.
Ndo zile ajira Milioni moja za kwenye ilani ya chama.