HakikaUnayosema ni kweli mkuu Anaacha kuangalia na kukemea kwa majirani zake anaenda mbali huko ili wala kauli yake haitakua na mashiko
HahaYaani niliposikia haya maneno ya Mahige na Ndugai nilijichekea mwenyewe tu.
Nilitamani wakae kimya tu.
HakikaUnayosema ni kweli mkuu Anaacha kuangalia na kukemea kwa majirani zake anaenda mbali huko ili wala kauli yake haitakua na mashiko
HahaKutwa wanashindana kwenda Marekani