Kwamaitaji ya tafsiri{transletion}

Kwamaitaji ya tafsiri{transletion}

Poxino

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
727
Reaction score
53
wasiliana na Mwl ndugu Mwinyi mtafusiri mstafu uzoefu zaidi ya miaka 25 katika taruma iyo BAKITA-baraza La Kiswahili Tanzania {Alie kwenye jopo lakipindi cha TBS cha daru zakiswahiri}Anatafsiri Kingereza to kiswahili {English language to Kiswahil language} kwa mwasiliano wasiliana namba ya ofisi +255755984282
 
wasiliana na Mwl ndugu Mwinyi mtafusiri mstafu uzoefu zaidi ya miaka 25 katika taruma iyo BAKITA-baraza La Kiswahili Tanzania {Alie kwenye jopo lakipindi cha TBS cha daru zakiswahiri}Anatafsiri Kingereza to kiswahili {English language to Kiswahil language} kwa mwasiliano wasiliana namba ya ofisi +255755984282

Wewe ndy huyo mwalimu au amekuomba umwekee Tangazo? Umeshaharibu kila kitu, kama kiswahili tu lugha mama ndiyo hivyo, hizo lugha zingine itakuwaje!
 
Translation na sio kama ulivyoandika hapo juu.( HEADING ). Kwa ufupi bandiko lako linakutafsiri kama TAPELI anayejifunza.
 
wasiliana na Mwl ndugu Mwinyi mtafusiri mstafu uzoefu zaidi ya miaka 25 katika taruma iyo BAKITA-baraza La Kiswahili Tanzania {Alie kwenye jopo lakipindi cha TBS cha daru zakiswahiri}Anatafsiri Kingereza to kiswahili {English language to Kiswahil language} kwa mwasiliano wasiliana namba ya ofisi +255755984282

Acha kudhalilisha Rais Mstaafu, Tumia jina lingine.
 
Kwa Mwendo huu inabidi wewe ndio uwe wa kwanza kuwatafuta watu wa aina hiyo.

"Kwamaitaji ya tafsiri
{transletion}"
 
Wala hujanvutia kumuona huyo unayemuita mtafusiri, kiswahili kimekupiga chenga, kiINglishi nacho hola,
 
wadau mimi sio mtafsiri ila niliwai kutafsiriwa nauyo mtu kazi yake nzuri sana nanilikua nawapa habali kwawale watakao kua nashida iyo kwayule aliesema nachafua jina la Mwinyi mh raisi mstafu ilo nijina lamtu yoyote.
 
wadau mimi sio mtafsiri ila niliwai kutafsiriwa nauyo mtu kazi yake nzuri sana nanilikua nawapa habali kwawale watakao kua nashida iyo kwayule aliesema nachafua jina la Mwinyi mh raisi mstafu ilo nijina lamtu yoyote.

Mkuu,wewe ni wa wapi? samahani lakini
 
wadau mimi sio mtafsiri ila niliwai kutafsiriwa nauyo mtu kazi yake nzuri sana nanilikua nawapa habali kwawale watakao kua nashida iyo kwayule aliesema nachafua jina la Mwinyi mh raisi mstafu ilo nijina lamtu yoyote.

Utajuaje kama alikutafsiria vizuri kama lugha inasumbua
 
Binafsi sijali swala lugha nashukuru mungu nachokijua kinanisaidia ktk maswala yangu nashuru
 
Pia kutafsri kunatokana na ufahamu wa taaluma unayotaka kutafsri sidhani kama hata ni mtafsri vipi hujui taaluma ya uganga unaweza kutafsiri maandiko ya kwenye taaluma ya uganga zaidi ya kuchukua maneno kutoka kwenye dictionary yaani neno kwa neno kitu ambacho kitaharibu maudhui ya jambo ulokusudia,naamini mtafsiri mzuri ni yule ambaye pia ana utaalamu na kile anachokitafsri kwa mfano mtafsiri akiwa ni mtaalamu wa mambo ya masoko na akitafsri mambo ya masoko itaeleweka vizuri kuliko huyo ambaye ni mtafsiri wa kiingereza kwa kiswahili
 
Back
Top Bottom